Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
BilabilaWakuu kuna lolote linalojiri ukoo?
DuuhBilabila
Siku Ya Interview Mtapimwa Lakini Pia Mkifika CCP Mtapimwa TenaInterview za jeshi la police huwa ni ngap? Na damu mnapima kwenye interview pale pale au kuna kuwa na utaribu gan
Interview Huwa Ni Mara Moja Ambapo Mtafanya Ndani Ya Wiki Moja... Kuna Siku Mtafanya Vipimo Tu, Siku Nyingine Maswali Ya Ana Kwa Ana, Siku Nyingine Mtafanya Mitihani Ya Kuandika Na Mazoezi Mengine Kadhaa Kadiri Ya Ratiba ZaoInterview za jeshi la police huwa ni ngap? Na damu mnapima kwenye interview pale pale au kuna kuwa na utaribu gan
Nzuri HiiSawa sawa mkuu ngoja nijipange na kila kitu hapa...
Yaani mpaka vyeti vya darasa la nne ninavyo
Hakuna kutumia simu mwaka mzima uko si ndio?Nzuri Hii
Simu Ni Marufuku Kabisa Aisee Ukiwa Na Shida Unaenda Kwa OC Wa Kombania Ndo Ana Mamlaka Ya Kutoa Mawasiliano...Hakuna kutumia simu mwaka mzima uko si ndio?
Anhaa kwayo simu tunaenda nazo alafu tunazikabidhi mpka mafunzo yakiisha ndo tutapewa au?Simu Ni Marufuku Kabisa Aisee Ukiwa Na Shida Unaenda Kwa OC Wa Kombania Ndo Ana Mamlaka Ya Kutoa Mawasiliano...
Kupatikana Na Simu Ni Kujifukuzisha Mafunzo...
Wiki Mbili Kabla Ya Kuhitimu Mafunzo Mtapatiwa Ruksa Ya Kumiliki Simu... Ila Kadiri Ya Jeshi Itakavyoona Inafaa Zaidi
Yeah Mtakabidhi... Mtapewa Maelekezo Ya Kukabidhi Kwa Nani/Wapi Siku MkiripotiAnhaa kwayo simu tunaenda nazo alafu tunazikabidhi mpka mafunzo yakiisha ndo tutapewa au?
Distance ya kawaida tu jombaa...hayo mambio utazoea tu. Kwanza utatoka uko fit kinoma. Tena kama kuna ex wako alikuw anakuona Fala ukitoka muombe game...utapeleka moto sio wa nchi hii ...Kuna mdau wangu apa ananambiia kukimbia ni Kila cku km 14 mwaka mzma duh
Waambie kabisa na mambo ya kusimamisha minazi, kukwepa vipindi, nidhamu mbovu, kupigana, wizi ......MPS itawahusu na kujifukuzisha juuYeah Mtakabidhi... Mtapewa Maelekezo Ya Kukabidhi Kwa Nani/Wapi Siku Mkiripoti
Wee usiniambie kwahyo haachwi mtu mkuu, ni mwendo wa kulamba asali tu sioAsali ..LOADING.............4G
Tusubiri Post Zitoke Kwanza...Waambie kabisa na mambo ya kusimamisha minazi, kukwepa vipindi, nidhamu mbovu, kupigana, wizi ......MPS itawahusu na kujifukuzisha juuTuPost
Mkuu vip ulisema utakuja na nots sahihi za mishahara ya polisi na utatuwekea hapa, vip au bdo hujapata mkuu?Tusubiri Post Zitoke Kwanza...
Tutatoa Full Mkeka Hapa, Namna Ya Kuishi CCP Na Kutoboa