Jax66
JF-Expert Member
- Nov 10, 2023
- 561
- 510
Ww superintendent of police unamfaham??🤔🤔yaani mshahara wa msaidizi(superintendent) ndio unafikia private aa jwtz aisee 😂😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ww superintendent of police unamfaham??🤔🤔yaani mshahara wa msaidizi(superintendent) ndio unafikia private aa jwtz aisee 😂😂😂
Sina lonja mkuu….sema wanasema kama uliapply vzr na ulikizi vigezo vyao bas kaa kwa kutulia na jiandae kwa usahiliMkuu vipi hakuna lonja huko
Sawa sawa ngoja tuone mkuu..Sina lonja mkuu….sema wanasema kama uliapply vzr na ulikizi vigezo vyao bas kaa kwa kutulia na jiandae kwa usahili
Miez mi3 tena baadae, noma sana mkuuSawa sawa ngoja tuone mkuu..
Mpaka mwezi wa kumi ni hatari
nime judge according to the post hio, nan muongo hapo?Muongo muongo muongo muongo tena muongo mkubwaa 🚮🚮
Anhaa apo Sawa, sikuona kama umeattach iyo post…..huyo jamaa hayuko sahihinime judge according to the post hio, nan muongo hapo?
HaujuiiiiiMiez mi3 tena baadae, noma sana mkuu
Hao namba K wanatola lini shuleni hapo????Kuweni na subra namba K bado hawatoka, wametoa makoplo trh 27 na masajini taji trh 25 kwahy wengne wapo kikosini bado
Sema kweli ✍️Vijana jiandaeni kulamba Asali.
Majina yanatoka lini mkuuVijana jiandaeni kulamba Asali.
Kumbe na mazoezi mepesi mnaanza kujiandaa na kozi😐😐Dah nilisha anza kupiga tizi la kukimbia. Nilikua nazunguuka kiwanja Cha mpra mara 12 Kila cku pamoja na vi push up vya hapa na pale Ndo nikaanza kuona iyo shida
DecemberMajina yanatoka lini mkuu
🙄🙄December
Haiwez fika December sema tuwe na subra kidogoDecember
Haiwez fika December sema tuwe na subra kidogo
Sawa mkuuHaiwez fika December sema tuwe na subra kidogo
Dec watu na kusahau tutakua tushasahauHaiwez fika December sema tuwe na subra kidogo