4'7 kiuhalisia ndo sio mbilikimoKo wanaanzia foot ngpi labda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
4'7 kiuhalisia ndo sio mbilikimoKo wanaanzia foot ngpi labda
Kuweni na subra namba K bado hawatoka, wametoa makoplo trh 27 na masajini taji trh 25 kwahy wengne wapo kikosini badoWakuu mbona kama sielewi hizi ajira za polisi ndo tulipigwa changaa au🤷
Mwenyewe naanza kupata mashakaWakuu mbona kama sielewi hizi ajira za polisi ndo tulipigwa changaa au[emoji1745]
Mpaka hao wengine nao watoke ndo watatoa majina sio?Kuweni na subra namba K bado hawatoka, wametoa makoplo trh 27 na masajini taji trh 25 kwahy wengne wapo kikosini bado
Watatoa muda wowote lakin kuripot baada ya usahili mpaka ilo bog litoke na ni mwez huu nahis linatokqMpaka hao wengine nao watoke ndo watatoa majina sio?
Sasa ilo bogi si limeingia mwez wa12 sasa litatokaje mwezi huu? means yani wanatoka wamepiga kozi miez7!! Mbona kama sio kweliWatatoa muda wowote lakin kuripot baada ya usahili mpaka ilo bog litoke na ni mwez huu nahis linatokq
Ahaa hicho ndo tunasubir watoe majina tujue kama yaliyomo yamoWatatoa muda wowote lakin kuripot baada ya usahili mpaka ilo bog litoke na ni mwez huu nahis linatokq
HahaaaaaaWatoe kwanza majina sasahiv alaf wakisema usaili hata mwez wa8 uko fresh tu, tutakaofanikiwa kuwepo tutambee Kwanzaa na majina 😂😂😂
Kabisa mkuuWatoe kwanza majina sasahiv alaf wakisema usaili hata mwez wa8 uko fresh tu, tutakaofanikiwa kuwepo tutambee Kwanzaa na majina [emoji23][emoji23][emoji23]
Watu wapo mbele ya muda [emoji2]Hah naona watu wameanza jadili namishahara kabisa
hah hii kali sanaWatu wapo mbele ya muda [emoji2]
Yaaani kuhusu majina kutokea kwenye pdf Haina shida ila kutoboa kwenye interview ndo kipengere coz naskia apa kupita ni karibia wote walioomba Kwa usahihi issue kwenye interview tuuuWatoe kwanza majina sasahiv alaf wakisema usaili hata mwez wa8 uko fresh tu, tutakaofanikiwa kuwepo tutambee Kwanzaa na majina 😂😂😂
Apa kwenda nahic wa 10 au 11Naelewa ilo mkuu, kweny interview sifa mbanga
Naaam uzalendo kwanza alaf pili ni muhimu kujua maokotoo yako 😁Hah naona watu wameanza jadili namishahara kabisa
Acha uongo bhana,ukisema hakuna jambo la polisi usilolifahamu na ww sio polisi utakua unatuongopea