Fundi manyumba
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 3,799
- 8,063
Na push up zao mkuu daahYaaani matiz kama vile push up dah inakua kipengere
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na push up zao mkuu daahYaaani matiz kama vile push up dah inakua kipengere
Daaah nakumbuka ile polini kule Nachingwea aiseee..
Polini pasikie tuu
Samia kakaOP gani ilikuwa iyo nachingwea
Connection Zipo Mkuu... Amini HivoYaaani naonaga wanazingua tuu...
Ahahahaha maneno maneno kibao mi naona ningumu sana kuunganisha mtu aisee
Daaah sasa hawa ndgu zetu wengine huko yenyewe ukute imekaa kizembe tuuu...Connection Zipo Mkuu... Amini Hivo
Siku Ukibahatika Kwenda CCP Utakutana Na Stori Za Wenzako Namna Walivyofika...
Hata Kama Hawatosema Ila Kuunganishwa Na Kupata Nafasi Simple Sana...
Watu Wana Mifumo Mwamba
Shuklani kaka 🙏Basi usikhofu hakuna kipya kingine mkuu hapa ni ishu tuingie kwenye system ya maokoto tuu hvo kudoji pia kupo mkuu
Ni kweli kabisa bro ngoja tuingie tupambanie msocConnection Zipo Mkuu... Amini Hivo
Siku Ukibahatika Kwenda CCP Utakutana Na Stori Za Wenzako Namna Walivyofika...
Hata Kama Hawatosema Ila Kuunganishwa Na Kupata Nafasi Simple Sana...
Watu Wana Mifumo Mwamba
Ila nilickia mwamba aliotoka ccp juz alienambia izo ni mpaka ufanye kosa ila tizi kwata judo kukimbia km14 na poriniNa push up zao mkuu daah
Hapo kaka mbona unatoboa kabisa mkuuIla nilickia mwamba aliotoka ccp juz alienambia izo ni mpaka ufanye kosa ila tizi kwata judo kukimbia km14 na porini
Ndioo nikifika ni kujichanganya tuu na vijitengo ilimnadi cku ziendeHapo kaka mbona unatoboa kabisa mkuu
Uwakika mkuu hapa nia yetu ni inter on systemNdioo nikifika ni kujichanganya tuu na vijitengo ilimnadi cku ziende
Yeah ngoja tuckilizieUwakika mkuu hapa nia yetu ni inter on system
Kujitolea au mujibu wa Sheria?Samia kaka
Ukizama tafuta kitengo tuNdioo nikifika ni kujichanganya tuu na vijitengo ilimnadi cku ziende
Mujibu mkuuKujitolea au mujibu wa Sheria?
Nilitamni kubaki ila ndugu buanaKujitolea au mujibu wa Sheria?
ungebaki ungeunganishwa na wakujitolea ambao kwa mda uo mujibu wanatoka nafkir wao wanakua koz haijaanza kwahyo utarudia kozi upyaNilitamni kubaki ila ndugu buana
Hata hvo ningebaki ingekua kasheshe sanaa maana daahungebaki ungeunganishwa na wakujitolea ambao kwa mda uo mujibu wanatoka nafkir wao wanakua koz haijaanza kwahyo utarudia kozi upya
Wale wa kujitolea tizi lao weeeh weeehungebaki ungeunganishwa na wakujitolea ambao kwa mda uo mujibu wanatoka nafkir wao wanakua koz haijaanza kwahyo utarudia kozi upya
Wale moto moto hawapoiWale wa kujitolea tizi lao weeeh weeeh