Tupeane updates za Ajira za Polisi 2024

Tupeane updates za Ajira za Polisi 2024

Ndio mkuu JKT kule..... Ahahaha ndo mana nikasema kwenye ishu ya mazoezi mbona kama police wanafanana na ya kule jkt..

Maana kukimbia kule ni daily ili ule lazima upige rout kwanza
Mazoezi yapo tofauti...jkt unafundishwa uzalendo wa kujilinda wewe na mali zako😂😂😂😂

Na Ile ni basic tu ya maswala ya ulinzi. Kikubwa jkt ni chuo Cha uzalishaji.

Majeshi mengine yanafundishwa ulinzi kwa muktadha mpana wa ulinzi wa kitaifa. Kwa kifupi

JWTZ... Kulinda nchi na mipaka.
UT....usalama wa mipaka
PT....usalama wa Raia na mali zao
FT. Uzima moto na uhokoaji
TISS... Usalama wa kiuchumi, siasa ndani na nje ya mipaka ya nchi​
 
Hamna waliokufa kwenye intake yenu
Wapo ila akufa kwa sababu ya mazoezi ila ni ishu nyingine tuu.
Tena aliyekufa ni mmoja aliumwa utumbo mpana yule jamaa..

Ila waliotoroka ni wengi ahahah nilikua mchora ramani...

Yaan kwenye ramanj walinitegemea sana kwa wale ambao baada ya result wakakimbia
 
Dah sema bro me napenda kichiz valangati za jeshi yaani ni kitu kipo moyoni kichiz Ila nikikumbuka Kua cpo sawa Kwa asilimia 100 dah nachokaa kabisa
Mpaka kujua upo unfit itachukua mda sana mkuu...

So usiogope wala nn wee tulia tuingie mzigoni..

Kingine kule usije ukawa unajionesha kuwa upo na kitu flan wee komaa tuu
 
Mpaka kujua upo unfit itachukua mda sana mkuu...

So usiogope wala nn wee tulia tuingie mzigoni..

Kingine kule usije ukawa unajionesha kuwa upo na kitu flan wee komaa tuu
Unajua nn kuhusu nafas ya kuingia ni uhakika shida ni kwamba Kwasasa mgongo unanipa shida na alienambia atafanya Kila liwezekanalo niende ccp ckumwambia ila kiukweli Nina hof huenda ikawa ngumu kutoboa kule nikaoshia kati nikarud tena
 
Unajua nn kuhusu nafas ya kuingia ni uhakika shida ni kwamba Kwasasa mgongo unanipa shida na alienambia atafanya Kila liwezekanalo niende ccp ckumwambia ila kiukweli Nina hof huenda ikawa ngumu kutoboa kule nikaoshia kati nikarud tena
Kitu gani unazani kwako kitakua shida mkuu...?
Kukimbia kwako ngumu..?
 
Back
Top Bottom