Fundi manyumba
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 3,799
- 8,063
Wakitoka hao ndo wanaenda wale wa polisi katika usailiJKT mwez wa9
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakitoka hao ndo wanaenda wale wa polisi katika usailiJKT mwez wa9
Mwaka huu bajeti ya ulinzi kubwa Sana .Wakitoka hao ndo wanaenda wale wa polisi katika usaili
Waombaji nao ni wengi bro Cha umuhim ni kuomba MUNGU sana na sisi tuwe ni Kati yao watakaopata nafacMwaka huu bajeti ya ulinzi kubwa Sana .
Kufa kufaana muhimu andaa vyeti uweke lamination
Waombaji nao ni wengi bro Cha umuhim ni kuomba MUNGU sana na sisi tuwe ni Kati yao watakaopata nafac
Yeah naskia wanaohitajika ni buku3 lakini waombaji ni wengi piaMungu muhimu kila kitu ni dua
Wanaweza kuhitajika wachache ukapata na wakahitajika wengi ukakosaYeah naskia wanaohitajika ni buku3 lakini waombaji ni wengi pia
Yeah cha umuhim ni kuskulizia tuuWanaweza kuhitajika wachache ukapata na wakahitajika wengi ukakosa
Kikubwa kumuomba Mungu ikiwa unahuitaji wa kazi utapata mkuu bila tatizo lolote
Sawa sawa mkuu ngoja nijipange na kila kitu hapa...Mwaka huu bajeti ya ulinzi kubwa Sana .
Kufa kufaana muhimu andaa vyeti uweke lamination
😁😁😁 usisahu na chakipaimala mkuu na vya dini.Sawa sawa mkuu ngoja nijipange na kila kitu hapa...
Yaani mpaka vyeti vya darasa la nne ninavyo
Kwahiyo post tusubili mwezi upi walitoa taarifa mwezi huu sijui kimetokea niniSasa kukimbia km 14 unashindwa?
Nikupigna kiume tu ili uje ulie kivuliniDah nna shida ya mgongo kidogo ila ivoivo nitaenda kupambana ukouko Hadi kieleweke
Ahahahaha hapa nipo nahangaikia cha TAMSIA mkuu maana ya FEMA tayari...😁😁😁 usisahu na chakipaimala mkuu na vya dini.
Nikupigna kiume tu ili uje ulie kivulini
Yeah ni kweli broNikupigna kiume tu ili uje ulie kivulini
Lini walitoa iyo taarifa?Kwahiyo post tusubili mwezi upi walitoa taarifa mwezi huu sijui kimetokea nini