Meneja CoLtd
Senior Member
- Mar 6, 2021
- 122
- 143
Pamoja✊Fanya tuonane mkuu
Mimi tareh 27 ndo naingia dodoma kesho mapema naenda kukata ticket
Kimasihara hivi hivi utupe update.Fanya tuonane mkuu
Mimi tareh 27 ndo naingia dodoma kesho mapema naenda kukata ticket
Mkuu takua hapa kuwapa habari mibashara hata kwa picha anKimasihara hivi hivi utupe update.k
Weka kne bag...osiende official sana [emoji1787] inawezekana kukawa na mbioasa usahili na nguo za michezo imekaaje hapo? watu waende wakiwa wamevaa nguo za michezo au wamebeba kwenye begi?
Weka kne bag...osiende official sana [emoji1787] inawezekana kukawa na mbio
Weka kne bag...osiende official sana [emoji1787] inawezekana kukawa na mbio
Ni zaidi ya kisanga hapo waliotoka ndani ndani watajigharamia kula na pa kulala....ni huzuni sanami nilijua watu wanaenda kwenye kambi kama jeshini! maana wiki2 ni nyingi sana isitoshe hupokelewi endapo ukichelewa hata siku1
Kiongozi pwani kubwaKama kapangiwa pwani anaenda pwani. Manake ndipo alipopachagua.
Na mimi nina wasi wasi huo..mi nilijua watu wanaenda kwenye kambi kama jeshini! maana wiki2 ni nyingi sana isitoshe hupokelewi endapo ukichelewa hata siku1
Wewe unafikia wapi? Maana wengine hawajua hata usaili unafanyikia wapi, maana tangazo linasema wa kidato cha 4 na 6 usaili utakua mikoani walipoombea bile kutaja eneo husikaI think kutakua na kukimbiza upepo,,,!!!
Alf naulza,, iv tunatakiwa tufike saa ngap vle,,, maan kwny tangazo kam sjaona vle
Ndio hapo na mimi nashangaaaaa aiseee wana mambo ya ajabu hawaWewe unafikia wapi? Maana wengine hawajua hata usaili unafanyikia wapi, maana tangazo linasema wa kidato cha 4 na 6 usaili utakua mikoani walipoombea bile kutaja eneo husika