Jax66
JF-Expert Member
- Nov 10, 2023
- 561
- 510
Pamoja mkuu✊Mkuu umetisha sana na uzidi kuwepo ukishakua kwenye payroll ya GVt hapo inatakiwa ujue akiba/azina na sio anasa..
cause "If you plan to fail, fail to plan"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pamoja mkuu✊Mkuu umetisha sana na uzidi kuwepo ukishakua kwenye payroll ya GVt hapo inatakiwa ujue akiba/azina na sio anasa..
cause "If you plan to fail, fail to plan"
Aya mkuu na totozi upunguze kidogo maana kuacha kabisa ni ngumu😂Nachoshukuru mungu pombe situmii asente mungu kwa hili maana hii kitu inamaliza sana pesa 😂
Apo unampeleka bar mnatumia zaid ya elfu20 alaf unampeleka tena guest unalipa elf15 bado yeye anataka kama20 hivi…aloo lazima uchakae na ulie kua mshahara hautoshi 😂😂😂tena hawa wanawake wa ki_leo wao na pesa kama embe na kokwa lake😂😂
tena hapo na ume assume budget kidogo mkuu mbona utasema umerogwa😂Apo unampeleka bar mnatumia zaid ya elfu20 alaf unampeleka tena guest unalipa elf15 bado yeye anataka kama20 hivi…aloo lazima uchakae na ulie kua mshahara hautoshi 😂😂😂
Totoz mm sijaendekeza mkuu….ukizidiwa sana tafuta mtu wako mmoja ambae anajielewa ishi nae mtu ambae hata akikuomba pesa ukimwambia huna anakuelewa, huyu utakua hutumii gharama nying sana mkuu kuliko kwenda bar ulewe alaf udake lishangingi aloo litakuchakaza mpka ukomee nakwambia utachojoa hela izooo mpka ujute😂😂😂Aya mkuu na totozi upunguze kidogo maana kuacha kabisa ni ngumu😂
Noma mkuutena hapo na ume assume budget kidogo mkuu mbona utasema umerogwa😂
Wakuda wa baadaeJamani nia na madhumuni ya Uzi huu ni kupeana updates mbalimbali Kwa wale tulio omba ajira za jeshi la polisi 2024 kama Kuna yeyote anajua chochote kuhusiana na CCP akuje atupe mwanga, mbinu za kutoboa pamoja na life la huko
Asantni🙏
Kugombania kvp mkuu?Huwa nasikitika sana vijana wanapo ajiriwa katika jeshi hili masikitiko yangu hayana tofauti na nionapo vijana wanajiunga CCM hawa UVCCM ni huzuni kwa taifa.
Vijana nawahasa hizi sio ajira za kugombania kabisa achaneni nazo.
Achana na habari za ajira za polisi nakusihi sana.Kugombania kvp mkuu?
Kwann niachane nazo mkuu?Achana na habari za ajira za polisi nakusihi sana.
Kwa tafsiri yako mkuu ni kama hizo nafasi zishajazwa watu wao au ni nn?Huwa nasikitika sana vijana wanapo ajiriwa katika jeshi hili masikitiko yangu hayana tofauti na nionapo vijana wanajiunga CCM hawa UVCCM ni huzuni kwa taifa.
Vijana nawahasa hizi sio ajira za kugombania kabisa achaneni nazo.
Sawa sawaNakubali familia mikazo mob✊
Chuo kikuu cha dodoma.Ndo wapi kaka???
kama utafanyia dodoma utanipata..Sem,, fundi majumba unaongea san,,, i appreciate it,, nkpita takufta
Mama tpd.. mama anapnda jeshi...Huyu kagangamala aende huko tipidiiiiii😂😂
Ahahaha hakuna shidoWao wenyewe hawawezi lugha vizuri. Kwaio hakuna shida