Tupeane updates za Ajira za Polisi 2024

Tupeane updates za Ajira za Polisi 2024

Hahahaaa
Kaka Dodoma hapa kama unambanga twende wote mtaani pagumu kaka 😂😂😂
Sema how 2naenda CIVE kaka??? Na wenyewe hawajasema direct kuwa itakuwa huko???
Munaenda CIVE kutokana na kuna sehemu kubwa kwa ajili ya mchakato wote....

Na imependekezwa itafanyikia pale Auditorium.... Itakua ni kuacha vyeti na kwenda pale dispensary kwa vipimo
 
Wakuu wakuu mwenye mbanga tusaidiane bac maana huu mchujo wa watu buku3 apo dodoma sio poa…..lazima life jitu😂
 
Utapigwa mchujo uo mtakatifu….ni mwendo wa vimemo tu apo utatembea
 
Ama kweli hapa kuna raia hata siku ya usahili hazikanyagi nazitatimba CPP😂😂
Sasa unakuta juna njemba baba ake ni commissner wazee wa mikasi sasa unafkr aje kweny usahil kufanya nn😂😂
 
[emoji23][emoji23][emoji23] nasikia maswali ni general wadau ko msijichoshe kusoma mambo ya fani zenu Kwa wale wa fani kurasini
 
Kwa anaejua watu waliopangiwa kufanya interview wilaya ya kinondoni wanafanya interview sehem gan? Na muda wa kuripo kwenye interview kuanzia saa ngap? Interview inafanyika osterbay au kwa mkuu wa wilaya
 
Back
Top Bottom