Kidjohuncho21
Member
- May 13, 2024
- 13
- 17
Hahahaaakama utafanyia dodoma utanipata..
Kama dasalam utanipata.
Ukibahatika kupita ukija kozi utanikuta kumbuka jina fundi manyumba
naona mkuu ww kupita uhakikakama utafanyia dodoma utanipata..
Kama dasalam utanipata.
Ukibahatika kupita ukija kozi utanikuta kumbuka jina fundi manyumba
Unataka kuniambia maafande kua kimombo hawakijui sio😂Wao wenyewe hawawezi lugha vizuri. Kwaio hakuna shida
Munaenda CIVE kutokana na kuna sehemu kubwa kwa ajili ya mchakato wote....Hahahaaa
Kaka Dodoma hapa kama unambanga twende wote mtaani pagumu kaka 😂😂😂
Sema how 2naenda CIVE kaka??? Na wenyewe hawajasema direct kuwa itakuwa huko???
Alafu wala siendi mkuu nishaghaili baada ya kusikia ishu ya mbagalambangala ahahahaahha manina zaooooMaafande maafande hamjambo
naona mkuu ww kupita uhakika
😂😂😂Kimombo chao ni am not your friend my friend..😂
😂😂Alafu wala siendi mkuu nishaghaili baada ya kusikia ishu ya mbagalambangala ahahahaahha manina zaoooo
Watu buku3+ alafu wanaohitajika ni 400 we unafikiri mchezo apo…..yan watu 2800 lazima warud nyumban😂Inaelekea watu washaanza kukata tamaa😥
Na ukute hata hiyo 400 ni idadi kubwa maan naskia Bogi Tz nzima watu hawatofk 3KWatu buku3+ alafu wanaohitajika ni 400 we unafikiri mchezo apo…..yan watu 2800 lazima warud nyumban😂
Ama kweli hapa kuna raia hata siku ya usahili hazikanyagi nazitatimba CPP😂😂Utapigwa mchujo uo mtakatifu….ni mwendo wa vimemo tu apo utatembea
Sasa unakuta juna njemba baba ake ni commissner wazee wa mikasi sasa unafkr aje kweny usahil kufanya nn😂😂Ama kweli hapa kuna raia hata siku ya usahili hazikanyagi nazitatimba CPP😂😂
Mfano wa maswal??[emoji23][emoji23][emoji23] nasikia maswali ni general wadau ko msijichoshe kusoma mambo ya fani zenu Kwa wale wa fani kurasini