Tupeane updates za Ajira za Polisi 2024

Tupeane updates za Ajira za Polisi 2024

Wakuu wakuuu kwa wale wa degree mnaofanya usail dar tafuta mbanga mapema ohooo!….utaishia kuona kila siku wenzako wanavaa nyota alafu uanze kusema umelogwa kumbe wala hujalogwa….narudia pambana utafute mbanga mchuano ni mkali sana
Watu 2000 af wanaohitajika hawazid 100😂😂
 
Pia kwa wale wa form6 na sisi tujitahid kuomba mungu na mbanga tutafute maana watu ni wengi
Wakuu wakuuu kwa wale wa degree mnaofanya usail dar tafuta mbanga mapema ohooo!….utaishia kuona kila siku wenzako wanavaa nyota alafu uanze kusema umelogwa kumbe wala hujalogwa….narudia pambana utafute mbanga mchuano ni mkali sana
kwa wale wa form6 na sisi tutafute mbanga maana watu pia ni wengi bila kusahau kuomba mungu
 
Narudi
Wakuu wakuuu kwa wale wa degree mnaofanya usail dar tafuta mbanga mapema ohooo!….utaishia kuona kila siku wenzako wanavaa nyota alafu uanze kusema umelogwa kumbe wala hujalogwa….narudia pambana utafute mbanga mchuano ni mkali sana
Narudia kwa wale wa degree tafuta mbanga jina lipite, ikiwezekana ongea na mbanga kua utamtoa posho safii…..na posho yake umpe kweli
 
Watu 2000 af wanaohitajika hawazid 100😂😂
Ni kweli kasema ukweli mwaka jana walichukua certificates za fani+diploma+degree jumps 201 kwa Tanzania bars na zanzibar jumla wakachuka form four wengi 980 pdf ya kwanza alaf400 hiv toleo la pili Mimi nilichogundua watu wanapenda mtu wafarijiwe kwa uongo na sio kuumizwa na ukweli
 
Ku
Ni kweli kasema ukweli mwaka jana walichukua certificates za fani+diploma+degree jumps 201 kwa Tanzania bars na zanzibar jumla wakachuka form four wengi 980 pdf ya kwanza alaf400 hiv toleo la pili Mimi nilichogundua watu wanapenda mtu wafarijiwe kwa uongo na sio kuumizwa na ukweli
Kuna mwaka waliita watu wa degree zaid ya 1500 kwenye usail alafu pdf la mwisho la kwenda ccp linakuja kutoka wakachukua watu97 tu….alooo!😂😂😂🏃🏃
 
So kwenye usaili mtu unaenda umevaa track suit kbsa tokea nyumbani au utaenda kuvalia hukohuko?
 
Jamani nia na madhumuni ya Uzi huu ni kupeana updates mbalimbali Kwa wale tulio omba ajira za jeshi la polisi 2024 kama Kuna yeyote anajua chochote kuhusiana na CCP akuje atupe mwanga, mbinu za kutoboa pamoja na life la huko

Asantni🙏
Mkuu usaili unapiga wapi?
 
Wawe wanasema mapema wanahitaji watu wangapi bhn hii kuekana roho juu juu sio sifa wala nini ni kupotezeana muda na kuchomesha nauli. Imagine mtu atoke kigoma aende usaili wa kwanza Dar wa pili Dodoma af pdf la mwisho holaa kajihudumia nauli chakula na malazi kudadeki na wa kumlaumu huna unaishia kusonya tuu😂😂😂😂😂😂😂😂 af wale walokushaur uaskari sio kazi wanaanza kukuambia sie tulikwambia ukatuona wajinga ona sasa yalokukuta alooo unatafuta kona unaliaaa unapiga yoweee ukitoka hapo unarudi mtaani mateso yanaendelea.. ila mwakani wakitoa tena tangazo TPF umooo 🤣
 
Ndugu zangu msiwe wabishi nendeni hata Youtube mtajionea wao wanapendelea kuchukua form four tena four zilizoning'inia kbs ili wasije sumbua kujiendeleza kielim na pia hao wa form six.....
upande wa degree ni mtiti maana hao Com-offcr sio kipaumbele sana sabab unaelewa majukum ya CO doria no.....Weka kichwan huko ukijitia wewe ni mwamba utasubili sana labd uwe na mmbanga wa uhakika sana...

na hii ni kwa Vyombo vyote vya usalama hizo elim kubwa labd uzipatie huko ndani
 
Kuna mtu fulan X kutoka nchi fulani Z yupo katika jeshi fulan Y na ni ofsa wa nyota2 niliwah kumsikia akisema kua hiz nafas hua zinauzwa….aloo nilichoka
Wawe wanasema mapema wanahitaji watu wangapi bhn hii kuekana roho juu juu sio sifa wala nini ni kupotezeana muda na kuchomesha nauli. Imagine mtu atoke kigoma aende usaili wa kwanza Dar wa pili Dodoma af pdf la mwisho holaa kajihudumia nauli chakula na malazi kudadeki na wa kumlaumu huna unaishia kusonya tuu😂😂😂😂😂😂😂😂 af wale walokushaur uaskari sio kazi wanaanza kukuambia sie tulikwambia ukatuona wajinga ona sasa yalokukuta alooo unatafuta kona unaliaaa unapiga yoweee ukitoka hapo unarudi mtaani mateso yanaendelea.. ila mwakani wakitoa tena tangazo TPF umooo 🤣
 
Kwa wale wa form4 kupita ni rahisi ni ww tu kwenda kwny usail….labda isiwe bahat yako tu kutokana na idadi ya watu…..maana nishashuhudia waliopita bila mbanga
Ndugu zangu msiwe wabishi nendeni hata Youtube mtajionea wao wanapendelea kuchukua form four tena four zilizoning'inia kbs ili wasije sumbua kujiendeleza kielim na pia hao wa form six.....
upande wa degree ni mtiti maana hao Com-offcr sio kipaumbele sana sabab unaelewa majukum ya CO doria no.....Weka kichwan huko ukijitia wewe ni mwamba utasubili sana labd uwe na mmbanga wa uhakika sana...

na hii ni kwa Vyombo vyote vya usalama hizo elim kubwa labd uzipatie huko ndani
 
Back
Top Bottom