MLIMAWANYOKA
JF-Expert Member
- Oct 25, 2019
- 631
- 2,247
Wakuu nauliza, hivi kwa walipoangiwa mfano ilala.. wana enda ku report kwa mkuu wa wilaya au makao makuu ya polis
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
J3 wahi haraka central polisi Posta ndo kituo cha kuripoti kwa wale wa ilala .... ntakua nkikusubiri paleWakuu nauliza, hivi kwa walipoangiwa mfano ilala.. wana enda ku report kwa mkuu wa wilaya au makao makuu ya polis
KwakwelWanikopeshage basi ntawalipa mshahara wangu wa kwanza😎
Amini kwamba watu elfu30 lazima wale za usoo bila huruma😂😂Kwa hii idadi sio poa kwa watu wote maan hapo zaid ya watu elf30 inatakiwa wale za uso
Vip mkuu kama ukikosa original ya cheti kimoja kwa mfano cha kuzaliwa afu vyeti vingine ukawa navyoNaskia ukifika pale baada ya kukabidhi vyeti unaweza usiulizwe chochote ila ukaambuwa tu “jielezee” alooo sasa we jichanganye jiumeume tu….hautaamin
Nachojua mm ni kwamba vyet vyote vya elimu husika na cha kuzaliwa walivyoseme uende navyo lazima vyote wavitake na wavikague….sasa jichanganye uende na chet feki cha kugushi pale aloo usaili utauona mchungu….utawapeleka mpka kwa uyo aliekutengenezea😂Vip mkuu kama ukikosa original ya cheti kimoja kwa mfano cha kuzaliwa afu vyeti vingine ukawa navyo
Vyet vyote ni muhimu wanataka original na wanakagua kama ni vya kweli pia wanaangalia kama majina yanaendana katika vyeti vyote….kama majina yako tofaut wanakutimua mkuuVip mkuu kama ukikosa original ya cheti kimoja kwa mfano cha kuzaliwa afu vyeti vingine ukawa navyo
Noma sana ukikosa hata cheti kimoja original hawana mda hata wakijadili kujua hata sababu nini?Vyet
Vyet vyote ni muhimu wanataka original na wanakagua kama ni vya kweli pia wanaangalia kama majina yanaendana katika vyeti vyote….kama majina yako tofaut wanakutimua mkuu
Noma sana mkuu hapo hawatak mjadala ni kwenuu mara mojaNoma sana ukikosa hata cheti kimoja original hawana mda hata wakijadili kuajua hata sababu nini
Czani kama ni muhimu mkuuLiving certificate inaitajika au aina madhara hata icpo wepo
Kwa case hii inatakiwa atafute affidavit tu mchezo kwishaMfano ww unaitwa JUSTINE alaf kweny moja ya chet chako kikakosewa kikaandikwa JUSTIN ikakosekana eruf E aloo lazima wakutimue kwenu😂😂
JUSTINE
JUSTIN
JASTINI
JASTINE
Hao ni watu wa4 tofauti kwahyo lazima wakutimue
living certificate ni kwa ajili ya walio pata zero . hivyo huwa hawana cheti cha form four.. nayo hutolewa na mkuu wa shule hata kabla huja Fanya mtihani wa form four. haitambuliki popote..Living certificate inaitajika au aina madhara hata icpo wepo
Mimi nimeitwa na nilikuwa na mawazo kama yako ya kutumia cheti cha Form 4 ila nikapewa ushauri nikatumia cheti changu cha Degree nikaitwa! Suala la idadi hata huko 4 na 6 nafasi ni chache kulinganisha na idadi ya walioitwa kwahyo jambo la kutoboa usaili bado gumu ila ukishatoboa usaili nakuhakikishia utajuta kwanini hukuweka cheti cha Degree, Uoga wako ndio umasikini wako! Unaogopaje competition? Hata kama nafasi ingekuwa 1 kwa watu Milioni kumi kwaninj huyo mmoja asiwe wewe? Hujiamini yani unajiona hufai kupata nafasi utashindwa ndo maana unakimbilia kwenye wengi kutafuta huruma! Hiyo mindset ya kufeli achana nayoUy
uyo jamaa hajui kitu….nisaidie kumwambia mkuu
Vya academic sio??Vyet
Vyet vyote ni muhimu wanataka original na wanakagua kama ni vya kweli pia wanaangalia kama majina yanaendana katika vyeti vyote….kama majina yako tofaut wanakutimua mkuu