Shukrani mkuu🤝Nadhani ni utaratibu wa mavazi tu,lakini
Ok ndugu,Depo yangu ile miezi miwili ya mwisho tulikuwa tunaruhusiwa Jumapili asubuhi mpaka saa 10 jioni kwenda kusafisha macho Mjini,kuhusu uliyeuliza suala la mavazi nadhani ni utaratibu wa mavazi tu. Ndio maana zamani kuanzia Nyota Moja mpaka IGP walikuwa wanavaa mikanda fulani myeusi tumboni na mmoja unapita begani,siku hizi naona hawavai hivyo
Ukishakuwa Mkoa ulikopangiwa ni ujanja wako kupata Uniform mpya maana ni deal sana.Hivyo unatakiwa ujiongeze na watu wa Bohari unawatoa kitu kidogo wakupe Unifomu. Mnapomaliza Depo mnapewa Uniform za kuripoti nazo mikoani,sasa zikichakaa inabidi ujiongeze kupata mpyaPia naomba kujua utaratibu wa kupewa uniform hua mtu unapewa uniform pair ngap? Na je hua kuna utaratibu wa kupewa uniform mpya kila baada ya miaka kadhaa au ukitoka mafunzoni uniform utakazopewa ndo izoizo hupewi tena nyingine?? Maana hua unakuta askari wengne uniform zao zimechakaa kwelikweli mpka hua nakua sielew
Sawa sawa MkuuNadhani ni utaratibu wa mavazi tu,lakini
Ok ndugu,Depo yangu ile miezi miwili ya mwisho tulikuwa tunaruhusiwa Jumapili asubuhi mpaka saa 10 jioni kwenda kusafisha macho Mjini,kuhusu uliyeuliza suala la mavazi nadhani ni utaratibu wa mavazi tu. Ndio maana zamani kuanzia Nyota Moja mpaka IGP walikuwa wanavaa mikanda fulani myeusi tumboni na mmoja unapita begani,siku hizi naona hawavai hivyo
Jungle green inavaliwa kama kuna operesheni muhimu mfano kipindi mchakamchaka, mazoezi ya Utayari lakini pia kuna kuwepo na siku maalum kutokana na ratiba itakavyoamuliwa ila muda mwingi sana Askari anapaswa kuvaa kaki wakati wa kazi.Na pia naomba kujua utaratibu wa kuvaa zile uniform kati ya ile ya kaki na ile ya green jungle ni unajiamulia tu kua leo nivae hii alafu kesho nivae ile au kuna utaratibu wa siku maalumu wa kuvaa kila uniform?? mwanadodoma Mercenary2013
Shukran maelezo yameshiba🤝🤝Kwa Field Force ile Green Jungle ni lazima kuvaa unapokuwa kazini. Kwa hawa wa kawaida ruhusa kuwa nazo zote mbili so inategemea na Supervisor anataka mvaaje siku husika maana huku kazini mikoani kupata Uniform mpya nako huwa ni kwa deal😄. Mimi binafsi nilipomaliza Depo February 1999(Nakumbuka Rais Mzee Mkapa alikuwa Ngeni Rasmi),nilibakizwa na wenzangu palepale CCP kuendelea na Judo and Karate Course.Hivyo wakati wenzetu wanapangiwa post kwenda mikoani kuanza kazi mimi na wenzangu 60 tulibakizwa palepale CCP kuendelea na Course hiyo ya Judo na Karate kwa miezi 9 tukamaliza December 1999(Tulikuwa na Walimu Special Wajapan kutoa Japan Sensei Masaya na Sensei Takesh). Baada ya kumaliza wote tukapangiwa Idara ya Upelelezi Vikosi Maalum vya kupambana na Majambazi mikoani(tuligawanywa mikoa yote),hivyo tuliripoti kwa Wakuu wa Upelelezi Mikoani.Lakini tulipokuwa tunaendela na Course hiyo ya Judo na Karate tulikuwa tunalipwa mishahara yetu kama kawaida maana tulikuwa ni Askari tayari. Hivyo kwa kifupi tangu niripoti kazini sikuwahi kuvaa Uniform ya Polisi mpaka siku naacha kazi ndio nikazitafuta na kuwarudishia Uniform zao(Buti,Kofia na Mkanda)
Asante sana mkuu🤝Jungle green inavaliwa kama kuna operesheni muhimu mfano kipindi mchakamchaka, mazoezi ya Utayari lakini pia kuna kuwepo na siku maalum kutokana na ratiba itakavyoamuliwa ila muda mwingi sana Askari anapaswa kuvaa kaki wakati wa kazi.
Sorry uliacha kazi mwaka gani na kwann uliacha kazi mkuu??Kwa Field Force ile Green Jungle ni lazima kuvaa unapokuwa kazini. Kwa hawa wa kawaida ruhusa kuwa nazo zote mbili so inategemea na Supervisor anataka mvaaje siku husika maana huku kazini mikoani kupata Uniform mpya nako huwa ni kwa deal😄. Mimi binafsi nilipomaliza Depo February 1999(Nakumbuka Rais Mzee Mkapa alikuwa Ngeni Rasmi),nilibakizwa na wenzangu palepale CCP kuendelea na Judo and Karate Course.Hivyo wakati wenzetu wanapangiwa post kwenda mikoani kuanza kazi mimi na wenzangu 60 tulibakizwa palepale CCP kuendelea na Course hiyo ya Judo na Karate kwa miezi 9 tukamaliza December 1999(Tulikuwa na Walimu Special Wajapan kutoa Japan Sensei Masaya na Sensei Takesh). Baada ya kumaliza wote tukapangiwa Idara ya Upelelezi Vikosi Maalum vya kupambana na Majambazi mikoani(tuligawanywa mikoa yote),hivyo tuliripoti kwa Wakuu wa Upelelezi Mikoani.Lakini tulipokuwa tunaendela na Course hiyo ya Judo na Karate tulikuwa tunalipwa mishahara yetu kama kawaida maana tulikuwa ni Askari tayari. Hivyo kwa kifupi tangu niripoti kazini sikuwahi kuvaa Uniform ya Polisi mpaka siku naacha kazi ndio nikazitafuta na kuwarudishia Uniform zao(Buti,Kofia na Mkanda)
Mda haumsubir mtu, hawa watu wanajua mambo wapo hewani sasahiv ndo mda wa kuwauliza ukisema usubirie pdf ndo uulize wasipokuepo je…ni vzr kuchangamkia fursaKuna maswali inabidi msubiri pdf ikitoka ndio muanze kuulizana huko pm, watu tumesubscribe kwenye uzi kusubiri pdf na lonja za muhimu, wengine mnaulizia utaratibu wa kupata uniform ya pili 😝😝 mkipata kazi si mtaambiwa vyote ?
Hakika.Mkuu hii mbinu inatumika Zanzibar, Zanzibar kuna siasa mbaya sana tusiruhu iingie Tanganyika itaumiza wasiokua na hatia.
Shukran mkuu…ila kuna kitu umenichanganya aisee umesema umejiendeleza kielimu alaf ukapiga pepa ya form6 mwaka 2021 na kujiunga udsm kwa degree yakwanza that means ww ndo umemaliza chuo mwaka huu au inakuaje maana mm sijaelewa au mm ndo nmekuelewa vibaya?🤔Niliingia Polisi Depo ya June 1998 nikiwa na Elimu ya Kidato cha Nne niliyomaliza 1997.Nikiwa kazini nilijiendeleza na QT mwaka mmoja nikapiga Paper ya Form Six 2021 nikafaulu,nikachaguliwa Degree ya Kwanza UDSM.Nilipomaliza Degree tu. nikaripoti kazini nikafanya mwezi mmoja nikapata kazi UN kwa field niliyosomea Chuo na Mshahara ulikuwa mara 30 ya Mshahara wangu wa Polisi hivyo nikaacha kazi nikaenda zangu UN.
Mkimaliza Depo mnatawanywa mikoani kuripoti kwa ma-RPC,kisha mkiripoti kwa ma-RPC nao wanawapangia kwenye Wilaya za Mikoa yao kutegemea na mahitaji.
Kuhusu kukaa Kota inategemea kama zipo maana nazo kuzipata huwa ni deal.Hivyo wengi wakiripoti Mikoani huwa wanapangiwa kukaa kwenye mamesi kwa muda au kama una ndugu mkoa uliopangiwa unaweza kukaa kwa Ndugu,kisha ukilipwa Mshahara kama ulikuwa unakaa kwenye mesi ya Polisi unajiongeza kutafuta chumba mtaani maana kupata Kota ni mtiti huwa zinakuwa zimejaa,labda umuone Mkuu wa Kambi ucheze kama pale akusaidie
Typing Error sorry,niliingia Depo Juni 1998 na kumaliza February 1999. Nikaendelea na Judo Course mpaka December 1999 nilipomaliza na kupangiwa Mkoa wa kazi. Nikiwa kazini June 2000 nikaanza QT kisha Mei 2001 nikapiga Paper ya Six kama Private Candidate. Kisha 2002 nikapata ruhusa na kuingia UDSM Degree nikamaliza 2006. Mwaka huohuo 2006 baada ya ku-graduate nikaacha kaziShukran mkuu…ila kuna kitu umenichanganya aisee umesema umejiendeleza kielimu alaf ukapiga pepa ya form6 mwaka 2021 na kujiunga udsm kwa degree yakwanza that means ww ndo umemaliza chuo mwaka huu au inakuaje maana mm sijaelewa au mm ndo nmekuelewa vibaya?🤔
Mbona sijaielewa hii ratiba aiseeWazee hii ratiba ni ya kweli au?
Anhaa apo nmekupata mkuuTyping Error sorry,niliingia Depo Juni 1998 na kumaliza February 1999. Nikaendelea na Judo Course mpaka December 1999 nilipomaliza na kupangiwa Mkoa wa kazi. Nikiwa kazini June 2000 nikaanza QT 2000 kisha Mei 2001 nikapiga Paper ya Six kama Private Candidate. Kisha 2002 nikapata ruhusa na kuingia UDSM Degree nikamaliza 2006. Mwaka huohuo 2006 baada ya ku-graduate nikaacha kazi
Aisee ww ulikua ni mafya 🤣🤣…..yani umemaliza tu kusoma halafu ukawaambia kua hutaki kazi yao ya polisi aisee hawakukumaind kweli😂😂Typing Error sorry,niliingia Depo Juni 1998 na kumaliza February 1999. Nikaendelea na Judo Course mpaka December 1999 nilipomaliza na kupangiwa Mkoa wa kazi. Nikiwa kazini June 2000 nikaanza QT kisha Mei 2001 nikapiga Paper ya Six kama Private Candidate. Kisha 2002 nikapata ruhusa na kuingia UDSM Degree nikamaliza 2006. Mwaka huohuo 2006 baada ya ku-graduate nikaacha kazi
RY2199 una moto sana na Depo,una uhakika wa kuwepo kwenye PDF??unaye wa kukushika mkono??Anhaa apo nmekupata mkuu
Kozi ya askari wapya inaanza tarehe 27/9Mbona sijaielewa hii ratiba aisee