Ujui usemalo kaka, mi naona ccp cio sehem ya kubaki hata wakitaka ubaki, ukifika utanielewa
Inakuaa inapitiaa kwaa😀😂Haya mambo sio poa, uko unafosi mbanga wako akufosie mchongo kumbe na yeye ana mbanga wake anamsikilizia aloo!!
Depo n# K iliyo CCP itamaliza tarehe 25/10/2024....wiki hii mwshoni wanaenda kilele pori kumaliza Field Craft exercise...PDF ni anytime naonaShusheni lonja bac wakuu
Jkt mwaka uu veepYeah sema kupambana muhimu
Jkt mwaka uu veep
Inakuaa inapitiaa kwaa😀😂
Depo n# K iliyo CCP itamaliza tarehe 25/10/2024....wiki hii mwshoni wanaenda kilele pori kumaliza Field Craft exercise...PDF ni anytime naona
Pori madogo wameenda muda maybe awamu ya pili waende wa awali kitambo wako Chaka hukoDepo n# K iliyo CCP itamaliza tarehe 25/10/2024....wiki hii mwshoni wanaenda kilele pori kumaliza Field Craft exercise...PDF ni anytime naona
Pori madogo wameenda muda maybe awamu ya pili waende wa awali kitambo wako Chaka huko
Afande gani hao mkuu😁😁Naona mapoti mpo hapa mnajadili. Chonde chonde msije kuwa wala rushwa kama akina afande wengine.
Mnataka kuwa majambazi wapya, poleni, huko mbeleni polisi mtakuwa na hali ngumu sana.Jamani nia na madhumuni ya Uzi huu ni kupeana updates mbalimbali Kwa wale tulio omba ajira za jeshi la polisi 2024 kama Kuna yeyote anajua chochote kuhusiana na CCP akuje atupe mwanga, mbinu za kutoboa pamoja na life la huko
Asantni🙏
kuna siku utajua unachokiongea utaacha dharauMnataka kuwa majambazi wapya, poleni, huko mbeleni polisi mtakuwa na hali ngumu sana.
Gen Z itawamaliza
Kwenye hao Gen Z hamna majambazi? au kwa kua wahalifu huwa hawatangazwi kila kitu huambiwi na hukijui unasubiri vyombo vya dora vikosee uhesabu makosa hao majambazi wengine tukuachie unawaweza?Mnataka kuwa majambazi wapya, poleni, huko mbeleni polisi mtakuwa na hali ngumu sana.
Gen Z itawamaliza