Hapanaa sikumaanishaa hivyoo mkuu...Unataka kusema kua wapo kuruta wanaotumia simu uko ccp?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapanaa sikumaanishaa hivyoo mkuu...Unataka kusema kua wapo kuruta wanaotumia simu uko ccp?
Hahaaha sijaelewaa hapaa mkuu😀Du
Duh nashangaaa ,, comments za ki kuruta hapa jukwaaaani ....tena za masuala ya humo ndani ndani afu online duh...
Kabisaaa....mwana ana madinii sanaa ya humo na chombo kizimaSema mkuu ww ni poti na inaonekana upo apo ccp kama mkufunzi Mercenary2013
Yes Mercenary2013 ni poti tena nafikr atakua apo ccp…..ila anafanya vizur kwa madini anayotupa humu jf mungu ambariki.Kabisaaa....mwana ana madinii sanaa ya humo na chombo kizima
Ili iweje? Kama nime graduate chuo 2012 unadhani ninahaja na huo u Police wenu mnao usaka?Unaonaje ukaanza kumuona ww kwanza mkuu
Kabisaa kakaa....lonja za uhakika na muhimuuYes Mercenary2013 ni poti tena nafikr atakua apo ccp…..ila anafanya vizur kwa madini anayotupa humu jf mungu ambariki.
Ili iweje? Kama nime graduate chuo 2012 unadhani ninahaja na huo u Police wenu mnao usaka?
NDIO MKUUAnhaa nimekupata mkuu…..heshima ndo ile unakua unabana mikono kwa ukakamavu then unasema jambo afande
Pamoja mkuu✊NDIO MKUU
Daaaa CCP Moshi kuamka saa nane usiku,.Maafande hawa Pandu, Frank, Petro, Simtowe na Fimbo ya Musa hatariii sanaaa.Wadogo za ngu jipangeni kule ni nidhamu, utii, weledi na uvumilivu
Barabara kabisa... Hao ni Maafande wa kazi ila ukishaingia CCP ujue kabisa ni nginja nginja mpela mpela issue kubwa ni uvumilivu na kujua kwamba "LEO NI SIKU NA LAZIMA ITAISHA"Daaaa CCP Moshi kuamka saa nane usiku,.Maafande hawa Pandu, Frank, Petro, Simtowe na Fimbo ya Musa hatariii sanaaa.Wadogo za ngu jipangeni kule ni nidhamu, utii, weledi na uvumilivu
Barabara kabisa... Hao ni Maafande wa kazi ila ukishaingia CCP ujue kabisa ni nginja nginja mpela mpela issue kubwa ni uvumilivu na kujua kwamba "LEO NI SIKU NA LAZIMA ITAISHA"
USIKATE TAMAA... Mabio saa 8 Usiku utaamka na lazima pakuche siku iendelee, Maafande hawana shida na mtu timiza WAJIBU wako upate utawala uendelee na issue zako nyingine
Kabisa Kule ni kufuata sheria zao tu. Ukitoka nje ya mstari unapigiwa biglaa mbele ya rc na wrc wenzako then kwenu.Ni mwendo wa nginja nginja📌📌
Hawana shida kabisa. Kikubwa ufate maelekezo tu. kile ni chuo kizuri sanaa ukichaguliwa tu jua utasoma sheria kama vile CPA, katiba, Evidence Act na nyingine za polisi but kozi yao nzurii na michezo pia ipo na wanajali sana imani kuna churches na msikiti pia.Sawa mkuu….mbona umenitisha kdgo mkuu kweny hao maafande….embu tuambie kdgo mkuu wakoje hao maafande mletele bondeni
Mambo ya kilele pori viip😀!?? Tupe na za hukooHawana shida kabisa. Kikubwa ufate maelekezo tu. kile ni chuo kizuri sanaa ukichaguliwa tu jua utasoma sheria kama vile CPA, katiba, Evidence Act na nyingine za polisi but kozi yao nzurii na michezo pia ipo na wanajali sana imani kuna churches na msikiti pia.
aaHawana shida kabisa. Kikubwa ufate maelekezo tu. kile ni chuo kizuri sanaa ukichaguliwa tu jua utasoma sheria kama vile CPA, katiba, Evidence Act na nyingine za polisi but kozi yao nzurii na michezo pia ipo na wanajali sana imani kuna churches na msikiti pia.
Kiongozi we jina lako uhakika nn?Anhaa shukran mkuu….alaf eti nmeskia baada ya kumaliza kula chakula cha jion saa12 kuanzia apo kuruta mnakula utawala mpka kuja kuamka iyo saa8 kwenda mabio vip hii ni kweli eti?? Mercenary2013 mletele bondeni
aa
Kwann mkuu?😂😂Kiongozi we jina lako uhakika nn?