Tupeane updates za Ajira za Polisi 2024

Tupeane updates za Ajira za Polisi 2024

Namuona mwamba DCP henry mwaibambe na mwenzake mambosasa, apo wakiwa kweny mkutano uko ccp……leo ni siku ya4 mkutano unaendelea
 

Attachments

  • IMG_9988.jpeg
    IMG_9988.jpeg
    304.1 KB · Views: 16
Anhaa shukran mkuu….alaf eti nmeskia baada ya kumaliza kula chakula cha jion saa12 kuanzia apo kuruta mnakula utawala mpka kuja kuamka iyo saa8 kwenda mabio vip hii ni kweli eti?? Mercenary2013 mletele bondeni

aa
Mara Baada ya chakula cha usiku saa 12 jioni kuna utawala kidogo ila kuanzia saa 2 usiku hadi saa 4 Inategemea Na Afande wa zamu wa Kombania anaweza kuwa folenisha katika SMALL SQUARE Tayari Kwa Ajili Ya LOKOO pamoja na matangazo mbalimbali ya siku inayofata.

ANGALIZO: Usiku huo wa LOKOO unaweza kuwa mzuri au mbaya mfano kama mliharibu kazi mnaweza kukesha hapo hadi muda wa mabio saa 8 au kupata adhabu mbalimbali kisha mkalale.

PIA kutokutimia kwa idadi ya watu wa PLATOON yenu inaweza sababisha kuchelewa kwenu kulala hadi watu watimie muhimu wakati wa usiku mtimie kwa idadi sawa na platoon yenu.
 
Namuona mwamba DCP henry mwaibambe na mwenzake mambosasa, apo wakiwa kweny mkutano uko ccp……leo ni siku ya4 mkutano unaendelea
Sorry not mambosasa….ni DCP wilbrod mtafungwa
 
Mara Baada ya chakula cha usiku saa 12 jioni kuna utawala kidogo ila kuanzia saa 2 usiku hadi saa 4 Inategemea Na Afande wa zamu wa Kombania anaweza kuwa folenisha katika SMALL SQUARE Tayari Kwa Ajili Ya LOKOO pamoja na matangazo mbalimbali ya siku inayofata.

ANGALIZO: Usiku huo wa LOKOO unaweza kuwa mzuri au mbaya mfano kama mliharibu kazi mnaweza kukesha hapo hadi muda wa mabio saa 8 au kupata adhabu mbalimbali kisha mkalale.

PIA kutokutimia kwa idadi ya watu wa PLATOON yenu inaweza sababisha kuchelewa kwenu kulala hadi watu watimie muhimu wakati wa usiku mtimie kwa idadi sawa na platoon yenu.
Shukran sana mkuu maelezo yameshiba🤝🤝
 
Mungu awatangulie nyote mnaosubiri pdf ya mwisho...ajira zilizobaki Tanzania ni ajira za kwenye majeshi tu..ila pengine wale mliongia kupitia professionals mungu awe nanyi zaidi maan wanahitajika wachache mno kwa mfano...katika kitengo fulani interview mlihudhuria zaidi ya 190 na wahaohitajika ni chini ya 30..enewei pia depo iliyopo huko ccp sio mda inatoka maan kwa sasa maafisa wapo huko katika kikao..labda wakimaliza ndio nanyi mtapewa pdf yenu..mkifika uko muwe wa kusikiliza mnachoambiwa...na kama utapita kupitia form four ama form 6 usisite kujiendeleza kielimu maana cheo nacho katika kazi hizi za kijeshi inatagemea elimu... assalamualaikum
 

Attachments

  • images.jpeg
    images.jpeg
    27.1 KB · Views: 14
Wakuu leo ndo tareh15 lakin uko kweny page za polisi hamna kitu, sema nimeskia kwa sasa kuna mkutano wa maofsa wa jeshi la polisi ambao kwa sasa unafanyika kule chuoni ccp na tareh17 ndo kuna sherehe ya kuazimisha miaka60 ya jeshi la polisi pale ccp…..sasa nafkr ndo wanasubir mpka sherehe iishe then ndo wamwage pdf….kwahyo tuendelee tu kusubir wakuu
Ni kwamba official information kuwa sio Leo Tena had sherehe ziishe ? Au still anytime from now inaweza pdf kutoka 🙏
 
Ndo kwa mara ya kwanza naona askari wa rank and files kavaa uniform ambayo haina namba upande wa kulia na jina Tanzania upande wa kushoto kifuani….vp mkuu unaweza kunielezea vzr kua hawa ni askari wa aina gani ambao uniform zao hazina namba mkuu? Mercenary2013
 

Attachments

  • IMG_9991.jpeg
    IMG_9991.jpeg
    454.4 KB · Views: 14
Ndo kwa mara ya kwanza naona askari wa rank and files kavaa uniform ambayo haina namba upande wa kulia na jina Tanzania upande wa kushoto kifuani….vp mkuu unaweza kunielezea vzr kua hawa ni askari wa aina gani ambao uniform zao hazina namba mkuu? Mercenary2013
We jamaa bana unavyopeleleza utafikiri unajambo kumbe ujana tu unakusumbua kaka 😀😀😀😀😀
 
Ndo kwa mara ya kwanza naona askari wa rank and files kavaa uniform ambayo haina namba upande wa kulia na jina Tanzania upande wa kushoto kifuani….vp mkuu unaweza kunielezea vzr kua hawa ni askari wa aina gani ambao uniform zao hazina namba mkuu? Mercenary2013
Afu uwe unaeka source hasa ukiweka picha za mtu ambae hana taarifa kuwa umempost
 
Sawa mkuu ujana unanisumbua
😂😂😂kaka pdf linatoka wiki hii tukapambane najua lazima tutakutana ccp(amini nachokwambia) pia kunasiku utajua kwanini nimekutania hivyo usihisi negative ukitaka kuwa kamanda hata matusi hasa ya nguoni uyaone mziki ila usiyatumie
 
Namba Moja mgeni rasmi kesho CCP kwenye sherehe za miaka 60 ya PT ....madogo wa depo nimeona clip wako rehesle ya paredi
 
Back
Top Bottom