Jax66
JF-Expert Member
- Nov 10, 2023
- 561
- 510
Usikariri mkuu….ingekua mwezi10 wanatoa tena bac wasingechukua watu5 pia mpka mda huu tusingekua kitaa, tungekua tushaingia ccp kitambo
Mwezi wa 10 wanatoa tenaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwezi wa 10 wanatoa tenaa
HAhahaaah hivi vituu havihitajii mihemkoo hioo kakaa...!! We broo ushamezwa na fever ya Ccp kama jina lako lipo ,,lipoo tu we subiri kwenda....we unafkiri ni swala la kuamka tu na kutoa majinaa watu kwendaa!? Ikiwa hujaandaliwa mazingira ya kuishi hukooUsikariri mkuu….ingekua mwezi10 wanatoa tena bac wasingechukua watu5 pia mpka mda huu tusingekua kitaa, tungekua tushaingia ccp kitambo
HAhahaaah hivi vituu havihitajii mihemkoo hioo kakaa...!! We broo ushamezwa na fever ya Ccp kama jina lako lipo ,,lipoo tu we subiri kwenda....we unafkiri ni swala la kuamka tu na kutoa majinaa watu kwendaa!? Ikiwa hujaandaliwa mazingira ya kuishi hukoo
Sawaa kakaa we dataa unazoo😀😀😀😂😂Tulia mkuu hamna mweny mihemko wala alie mezeshwa apa, tulia watu tukupe za ndani…..huna data
Habar jamn mi naomba kuuliza hivi hao watakao maliza mwezi ujao watakua na muda wa kwenda likizo na ya siku ngapi? Au wakipangiwa moja Kwa moja ni kulipoti kwenye kituo?Sawaa kakaa we dataa unazoo😀😀😀😂😂
jamani habari naomba kuuliza kama ikitokea umechaguliwa, kule vinahitajika vifaaa gani yaani nitatakiwa kuwa na nini? Pia nasikia kuna posho muda wa kozi ni bei gani?
Yeah Tangazo litaelekeza pia Posho zipo usijali...jamani habari naomba kuuliza kama ikitokea umechaguliwa, kule vinahitajika vifaaa gani yaani nitatakiwa kuwa na nini? Pia nasikia kuna posho muda wa kozi ni bei gani?
Polisi ni tofauti na majeshi mengine hamna likizo ni moja kwa moja Kwenda kuripoti kituoni na kutakuwa na mazoezi mengine ya Utayari ya miezi miwili mkoani baada ya hiyo miezi ndo utaenda WILAYANI, KIKOSINI AU RPC kuanza kazi.Habar jamn mi naomba kuuliza hivi hao watakao maliza mwezi ujao watakua na muda wa kwenda likizo na ya siku ngapi? Au wakipangiwa moja Kwa moja ni kulipoti kwenye kituo?
Polisi ni tofauti na majeshi mengine hamna likizo ni moja kwa moja Kwenda kuripoti kituoni na kutakuwa na mazoezi mengine ya Utayari ya miezi miwili mkoani baada ya hiyo miezi ndo utaenda WILAYANI, KIKOSINI AU RPC kuanza kazi.
Mfano depo Lililopita PCCB/TAKUKURU walipewa wiki 2 za mapumziko pindi tu walipohitimu....
Polisi likizo halali ni baada ya miaka 3 kwa waajiriwa wapya ama namna Kituo chako kitakavyopanga kuona ni vema askari wapumzike...
Hivi wenye fani huko huwa wanafavour gani tofaut na wasio na fani...Mfano hayo mazoez ya utayar ni police wote hadi wenye fani au wenye fani wataendelea na kazi zao kulingana na fani zao??Polisi ni tofauti na majeshi mengine hamna likizo ni moja kwa moja Kwenda kuripoti kituoni na kutakuwa na mazoezi mengine ya Utayari ya miezi miwili mkoani baada ya hiyo miezi ndo utaenda WILAYANI, KIKOSINI AU RPC kuanza kazi.
Mfano depo Lililopita PCCB/TAKUKURU walipewa wiki 2 za mapumziko pindi tu walipohitimu....
Polisi likizo halali ni baada ya miaka 3 kwa waajiriwa wapya ama namna Kituo chako kitakavyopanga kuona ni vema askari wapumzike kutokana na uhitaji wa wakati huo...
Mwenye fani na asiye na fani wote pared n lazima..kumbuka kazi na ya upolisi..fani uliyonayo ni extra..kwa mfano kikosi cha ufundi kilwa road wao japokuwa wana fani za ufundi lkn huwa wanaingia pared ama mazoezi ya utayali kwa wiki mara mojaHabar jamn mi naomba kuuliza hivi hao watakao maliza mwezi ujao watakua na muda wa kwenda likizo na ya siku ngapi? Au wakipangiwa moja Kwa moja ni kulipoti kwenye kituo?
Nilikua nataman sana kuwa qskari wa zimamoto au uhamiaji ila kupata ngumu sana hasa kwa fani we acha mkuu mambo magumuHii PDF inatufanya tusikose data aisee,itoke tu tujue mbivu na mbichi
Tajiri unapata wapi muda wa kujibu wenye njaa?Msituteke mkatutesa na kutuua kwa njaa zenu
Au huoni matajiri wenzio wana ajiri managers wa mitandao yao ya kijamii, au unaogopa mb za songesha zisiishe muda wakeTajiri unapata wapi muda wa kujibu wenye njaa?