Tupeane updates za Ajira za Polisi 2024

Tupeane updates za Ajira za Polisi 2024

Vijana msiache kuomba sana Mungu.

Binafsi nimebahatika kusikia maongezi ya simu ya mtu wangu wa karibu (mshikaji wa kazini) kwa bahati mbaya.

Nakumbuka vizuri aliulizwa kama yuko tayari kwenda kozi ya POLISI nafasi zimebaki 3.
Jamaa aliikataa lakini bado najiuliza kuna watu kama hawa wangapi wanaopeana nafasi kama chumvi.

Eneweiz msiache kuombea mapambano yenu. Kila la heri kwenu wapambanaji.
 
Vijana msiache kuomba sana Mungu.

Binafsi nimebahatika kusikia maongezi ya simu ya mtu wangu wa karibu (mshikaji wa kazini) kwa bahati mbaya.

Nakumbuka vizuri aliulizwa kama yuko tayari kwenda kozi ya POLISI nafasi zimebaki 3.
Jamaa aliikataa lakini bado najiuliza kuna watu kama hawa wangapi wanaopeana nafasi kama chumvi.

Eneweiz msiache kuombea mapambano yenu. Kila la heri kwenu wapambanaji.
Kila mtu ana njia ya kupambana kufikia lengo, yeye kaamini huko ila kuna Raia ye kaomba tu na atachaguliwaaaa

Kama ulivyosema vijana tumuombe mungu sana.
 
Vitengo Vyote hivo askari wanachaguliwa kutokana na PDF la mwisho mtakapokuwa mnasomewa vituo na majukumu ya kazi...

Ila mkifika mkoani pia kutokana na uhitaji wa Kituo au mkoa unaweza kubadilishwa kitengo... NI MAELEKEZO TU
Ndugu Mercenary2013,Polisi mmeendelea,nasikia cha kati sasa hivi mnalipwa Laki Tatu. Mimi wakati naacha kazi 2007 ilikuwa 100,00 kama sikosei. Yote kwa yote nilipoacha kazi Polisi na kwenda kuajiriwa sehemu nyingine ndio nilishangaa kuona Maofisa wengine wa Serikali wanavyolipwa vizuri na kula good time wakati Muajiri ni mmoja(Serikali),kuna gape kubwa sana la Mishahara kati ya Vyombo vya Ulinzi na Taasisi nyingine za Serikali hasa Mashirika
 
Vijana msiache kuomba sana Mungu.

Binafsi nimebahatika kusikia maongezi ya simu ya mtu wangu wa karibu (mshikaji wa kazini) kwa bahati mbaya.

Nakumbuka vizuri aliulizwa kama yuko tayari kwenda kozi ya POLISI nafasi zimebaki 3.
Jamaa aliikataa lakini bado najiuliza kuna watu kama hawa wangapi wanaopeana nafasi kama chumvi.

Eneweiz msiache kuombea mapambano yenu. Kila la heri kwenu wapambanaji.
Imagine ww unasubir pdf alaf kuna mwenzako anaulizwa kama anahitaj kuingia polisi nafasi zimebaki3…….Hahahahah vijana wa humu ndani tufanyeni tujikite sna kweny kufanya mishe nyingne aisee huku ukiweka hii ajira ya polisi kama kitu cha ziada usiweke tegemeo sana maana mwisho wa siku itakuja kua maumivu ikitokea haumo kweny pdf la mwisho.

Hii inanikumbusha kwenye usaili tumeshakaa kama siku10 ni kusota tu alaf imefika ile siku ambayo kesho yake ndo tunaenda kwa mkuu wa mkoa yaani iyo ilikua siku ya10 usiku kuna dogo wa 4m4 akanipigia simu ananiambia kuna nafasi moja ya form6 imebaki ila mtu ajitokeze kabla kesho asubuh hatujafika kwa mkuu wa mkoa na nafasi yenyewe sio bure inauzwa million3 so akaniambia nimtafutie watu, fikiria watu wapo kweny usaili wanasota alaf kumbe kuna nafasi za watu ukoo!…..vijana hii ajira kupata sio lelemama kwahyo kua tayar kwa lolote na Mungu pia ni wakuombwa sana, ww chochote unachokiamini fanya maombi sana kama ni Mungu Sawa, kama kuna mmbuyu unauabudu haya twende kazi piga maombi kama ni kwa sangoma haya kazi kwakoo.
 
Ndugu Mercenary2013,Polisi mmeendelea,nasikia cha kati sasa hivi mnalipwa Laki Tatu. Mimi wakati naacha kazi 2007 ilikuwa 100,00 kama sikosei. Yote kwa yote nilipoacha kazi Polisi na kwenda kuajiriwa sehemu nyingine ndio nilishangaa kuona Maofisa wengine wa Serikali wanavyolipwa vizuri na kula good time wakati Muajiri ni mmoja(Serikali),kuna gape kubwa sana la Mishahara kati ya Vyombo vya Ulinzi na Taasisi nyingine za Serikali hasa Mashirika
Upo Sahihi kabisa mkuu Mashirika Ya Umma Yako Vizuri... Posho Pamoja Na Mishahara Ni kitu ambacho hata upewe kiasi gani Hauwezi kutosheka na shida haiwez kuisha itapungua tu....

Majeshini huku ni uzalendo mwingi, Muda mwingi Askari wapo kazini kupambana....

Ukiwa Majeshini lazima ukumbuke kwamba kuna maisha baada ya Jeshi pambana kutafuta opportunity nyingine nje ya Jeshi, jiwekeze kwa Biashara hata elimu zaidi.
 
Ndugu Mercenary2013,Polisi mmeendelea,nasikia cha kati sasa hivi mnalipwa Laki Tatu. Mimi wakati naacha kazi 2007 ilikuwa 100,00 kama sikosei. Yote kwa yote nilipoacha kazi Polisi na kwenda kuajiriwa sehemu nyingine ndio nilishangaa kuona Maofisa wengine wa Serikali wanavyolipwa vizuri na kula good time wakati Muajiri ni mmoja(Serikali),kuna gape kubwa sana la Mishahara kati ya Vyombo vya Ulinzi na Taasisi nyingine za Serikali hasa Mashirika
Mkuu umenisaidia sana hujui tu,mimi naomba mungu nipate nina taalum ya IT ila nimeombea form six Mungu wa mbinguni akinisikia nitaenda kusoma professional certifications za IT Mfano CCNA,CEH nikizipate zile nimiezi sita kwa ada kama mil2 hiv natafuta kazi za MDH au Amref au asasi kama hizo ila kuna mtu alielezea kua haiwezekani kuacha hii job na hata ukiacha hutaingia tena serekalini nikashangaa
 
Nadhani sasa hivi wanalipwa kwa kiwango cha Elimu,nina dogo ana Diploma lakini ni Constable hivyo analipwa Laki 6,lakini Constable wenzake wasio na Diploma wanalipwa chini ya hapo,lakini posho ya Laki Tatu ni kwa Askari wote bila kujali Cheo wala Elimu
Mkuu hio laki 6 ni take home au ni basic?
 
Nadhani sasa hivi wanalipwa kwa kiwango cha Elimu,nina dogo ana Diploma lakini ni Constable hivyo analipwa Laki 6,lakini Constable wenzake wasio na Diploma wanalipwa chini ya hapo,lakini posho ya Laki Tatu ni kwa Askari wote bila kujali Cheo wala Elimu
kwa hiyo ni kwa mwezi ndo wanapokea laki 6 na laki 3 ya posho wa diploma ni hivyo tu?!
 
Ndio hivyo dogo,Mshahara unatofautiana kulingana na Cheo na Elimu,lakini posho ya Laki Tatu ni kwa Askari wote(inaitwa Ration Allowance). Nadhani uzuri ni uwepesi wa kupata mikopo Bank unakuwa unakatwa kidogokidogo kwenye Mshahara na videal vya mtaani maisha yanaenda,kikubwa usitumie Upolisi wako kuua na kupora Mali za watu,aliyekuwa Mkuu wangu wa Upelelezi alihukumiwa kunyongwa(Kesi ya kina Zombe) ile,hivyo ni vema kuridhika na Mshahara wako na sio kulazimisha rushwa
So laki 9 kwa mwezi … sio mbaya … nasikia pia kuna other pay malipo nje ya hizo kama kitengo nk… is it true ?!
 
Assalam Alleykum
Bogi la kwanza wataripoti 27/09/2024.. Hizi ni habari za uhakika kabisa so anyday kuanzia leo kesho PDF litatoka na wakuu washalibariki.

Bogi la pili litakuwa 04/11/2024 na Bogi la tatu ni 10/02/2025 (hizi nafasi zitatangazwa mwshoni mwa mwaka huu) wa UT nao jiandaeni mwezi ujao watu wanahitimu na mwsho wa mwaka nafasi zinatangazwa lkn km kawaida ni finyu na ni za kujuana hakuna mfano
 
Assalam Alleykum
Bogi la kwanza wataripoti 27/09/2024.. Hizi ni habari za uhakika kabisa so anyday kuanzia leo kesho PDF litatoka na wakuu washalibariki.

Bogi la pili litakuwa 04/11/2024 na Bogi la tatu ni 10/02/2025 (hizi nafasi zitatangazwa mwshoni mwa mwaka huu) wa UT nao jiandaeni mwezi ujao watu wanahitimu na mwsho wa mwaka nafasi zinatangazwa lkn km kawaida ni finyu na ni za kujuana hakuna mfano
Hii bogi ya pili inakua kama second selection hakutakua na interview sio ?
 
Mkiingia msiwe mnapiga watanzania wenzenu watu wetu wameteseka sana tangu ukoloni mpaka leo inatosha kupiga mtz mwenzio ni laana.
 
Kuna lonja nimeiskia uko kua kesho au j4 pdf litamwagika
 
Back
Top Bottom