drezzydante
Member
- Aug 16, 2024
- 11
- 5
Is there second pdf au selection?!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja tusubiriIs there second pdf au selection?!
Uzi umepoa veep... Ndoige tayaliNgoja tusubiri
Watu washakula ndoige,hamu yote kwisha😃Uzi umepoa veep... Ndoige tayali
Second selection nafasi zipo kama una mbanga, hizo ni baba kanisendIs there second pdf au selection?!
Mzee,kwamba hawa wakienda kuna wengine wanazamia wa baba kanitumaSecond selection nafasi zipo kama una mbanga, hizo ni baba kanisend
Ndio mzee, mjini mipango hapo kuna watu wanasubiri simu ziiteMzee,kwamba hawa wakienda kuna wengine wanazamia wa baba kanituma
Mh haya mzee baba na sisi tusubiri ziiteNdio mzee, mjini mipango hapo kuna watu wanasubiri simu ziite
Vipi mzee una mbanga wa uhakika?Mh haya mzee baba na sisi tusubiri ziite
Aah,nasubiri miujiza na mimiVipi mzee una mbanga wa uhakika?
Mkuu veep PDFNingependa kufahamu mshahara wa askari polisi,nijue hata range yake tu
Hufai kuwa askari wewe.Mpk nimeanza kuharisha kwa woga bando langu la mawazo naku pm namba yangu unirushie wasup
I dont think so! May be NovemberIs there second pdf au selection?!
Baba kanituma lazima wawepo, Mjini mipango hapa bongo toa Hela upate Hela zaidiMzee,kwamba hawa wakienda kuna wengine wanazamia wa baba kanituma
mimi nimepigwa chini,ila nilitamani sana sana kujua kama wale wa mzee kanituma kama wanaenda na hawa au wana bogi Lao,ili nianze kujisuka mapemaRy2199 upo kwenye PDF kijana au wamekupiga Ndoige?tupe mrejesho maana ulikuwa na moto sana kijana wangu,yote kwa yote usikate tamaa kama wamekupiga chini
Hapo ndio ujue tatizo la Ajira lilivyo kubwa hivyo wengi wameona wakimbilie tu hukohuko Jeshini kujishikiza maisha yaende,lakini wengi pia watakuja kuacha Polisi wakipata sehemu zenye maslahi zaidiJeshi linaenda kubadilika sana...........Wasomi 700+ hii ni kubwa