Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Nataka nikutumie wewe, hakikisha unafuata maagizo yangu. Ukifika chuoni nataka nikuone ukiwa na smatifoni.Baki navyo au unaweza kuwatumia familia yako na watu wako wa karibu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nataka nikutumie wewe, hakikisha unafuata maagizo yangu. Ukifika chuoni nataka nikuone ukiwa na smatifoni.Baki navyo au unaweza kuwatumia familia yako na watu wako wa karibu
Na hata sikuizii inakua hvoo mda mwinginee...mfano depo linalomaliza hivi sasa ilikua hivoo pia
JW na kwwnyewe za uso nini tusubiri kujitoleaKURUTA(hilo ni jina lako lizoee),pale CCP ni Kijiji, Wakufunzi wote wanaishi mle ndani kwenye kota zao,nao wanafanya ujasiriamali kujiongezea vipato,hivyo vifaa vyote vinapatikana mle ndani,ni pesa yako tu
Endelea kupambana hkt piah wametoa lroAcha niendele kumsifu bwana ndoto za kuwa Potty Rasmi nimezizika baada mkeka huu😭😭
Mchawi umri mzee ndo maana nimesema nimezika rasmi ndoto za kuwa askariEndelea kupambana hkt piah wametoa lro
Mchawi umri mzee ndo maana nimesema nimezika rasmi ndoto za kuwa
Jkt bachelor adiii miaka 26 unaenda jkt ay ushavuka apo bocMchawi umri mzee ndo maana nimesema nimezika rasmi ndoto za kuwa askari
Kwenye pdf sindio maelekozo yamesema hivyo bossKwa wale mliochaguliwa hivi ni mikoa yote mmeambiwa mripoti kwa makamanda wa mkoa kesho??
Beba tu hela kwa sasa... Hapa mwanzoni wanakaza sana msitumie ila baada ya miezi kadhaa uhakika mtaruhusiwaNaomba kuuliza vip redio ndogo , memory card yaani vifaa vya mziki au head phone vinaruhusiwa hii ni Kwa ajili ya kusikiliza mziki hasa pale ambapo Imetokea free time
Nenda full kabisa vaa jezi zao na pia nyoa mambo yasiwe mengi... Maana hakutabiriki unaweza kula TIFU kizembeHivi nitoke na para langu huku au nitamaliza nikifika huko?
Vipi kuhusu nguo za kuvaa kipindi cha kureport, ni hizi za kawaida ama hizi track suit tutakazonunua?
900K+Wakuu naomba kujua mshahara wa clinical officer wa jeshi la polisi
Kama Ni umri sana... Ila kama umri una ruhusu bado una nafasi utapata tu.... ALL THE BEST MKUU TUPAMBANE KITAA KWANZAAcha niendele kumsifu bwana ndoto za kuwa Potty Rasmi nimezizika baada mkeka huu😭😭
Nunua huku huku kitaa, huku kuna muda Vifaa mwanzoni vinakuwa gharama sana na utapata shida ya Upatikanaji maana uhitaji utakuwa mkubwa....mwenye kufahamu kuhusu vifaa vya usafi mfano jembe n.k uwez kwenda nunua kulekule .