Ramadhan Jumbe Joho
Member
- Feb 22, 2024
- 47
- 141
Aisee ngoja nikareport, jamiiforum ndio basi tena
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila la kherii mkuuAisee ngoja nikareport, jamiiforum ndio basi tena
Kila la heri champ tutakuja 25/10 kwenye graduAisee ngoja nikareport, jamiiforum ndio basi tena
Hivi kufika kwenye gradu unashukia wapi maana Nasikia watafanyia porini na kawaida watu huwanza kuingia saa ngapi?Kila la heri champ tutakuja 25/10 kwenye gradu
Wanafanyia mjini mkuu, wameshaanza kurudi chuoni kuendelea na gwaride,Hivi kufika kwenye gradu unashukia wapi maana Nasikia watafanyia porini na kawaida watu huwanza kuingia saa ngapi?
Ok jah bless siku ifike niendeWanafanyia mjini mkuu, wameshaanza kurudi chuoni kuendelea na gwaride,
Porini wametoka wako mjini wale wapya wako porini ........ ilikuwa 25 mwez huu wasepe wamesogezewa muda kidogo ila mwez huu huu wa 10 maana takukuru wao 26/10Hivi kufika kwenye gradu unashukia wapi maana Nasikia watafanyia porini na kawaida watu huwanza kuingia saa ngapi?
Tutaonana mkuu nitakuwepo piaOk jah bless siku ifike niende
Mm kw uelewa wngu hakuna Awamu ya pili.. Isipokuwa wiki ya 3 baada ya watu kuripoti wanafanyiwa vpmo wale unfit plus wale ambao hawa kuripoti nafas zao znajazwa na hapo ndo “Dingi kanisend” Mara nyingi wanapata nafasi na wale wenye mbanga za uhakka!!Wakuu awamu ya pili ni lini, Alafu.. Awamu ya pili ikitokaa ina maana watu wata apply upya? Au watatuma mkekaa wa pili kwa wale walio apply mwanzo?? Nisaidiee wakuu
Hao unfit wanakutwa na nini? Mpk wanarudishwa?Mm kw uelewa wngu hakuna Awamu ya pili.. Isipokuwa wiki ya 3 baada ya watu kuripoti wanafanyiwa vpmo wale unfit plus wale ambao hawa kuripoti nafas zao znajazwa na hapo ndo “Dingi kanisend” Mara nyingi wanapata nafasi na wale wenye mbanga za uhakka!!
LKN KM ULIFANYA USAILI BADO USIKAE MBALI NA SIMU YAKO MUDA WWTE INAWEZA KUITA
PamojaTutaonana mkuu nitakuwepo pia
Ni tarehe ngapii imekua? Kuna mtu alisema imesogezwaPamoja
Ni tar
Sijasikia ila najua ni trh 25/10Ni tarehe ngapii imekua? Kuna mtu alisema imesogezwa
Awali. Ilikuwa tarehe 25 .... takukuru wao 26 mdau nilicheki nae Leo akasema atanipa jibu rehearsal unaendelea tarehe rasmi Bado awali ilikuwa 25Ni tarehe ngapii imekua? Kuna mtu alisema imesogezwa
Bhasii sawaa utatupa update kma kutakua na mabadiliko yeyotee.....Au kaka Mercenary2013 unaweza kutusaidia hili.Awali. Ilikuwa tarehe 25 .... takukuru wao 26 mdau nilicheki nae Leo akasema atanipa jibu rehearsal unaendelea tarehe rasmi Bado awali ilikuwa 25
Sure .... mwanangu Moja Yuko huko sema yeye mtu wa mkoani anasema 23 pass out then 25 wawe vituo vya kazi ....kama wakuu Wana update za huko tuzidi kuambiana!!!!Bhasii sawaa utatupa update kma kutakua na mabadiliko yeyotee.....Au kaka Mercenary2013 unaweza kutusaidia hili.
Tukipata updatee tutaletaa....ngojaa tusubirii tuSure .... mwanangu Moja Yuko huko sema yeye mtu wa mkoani anasema 23 pass out then 25 wawe vituo vya kazi ....kama wakuu Wana update za huko tuzidi kuambiana!!
Wanamaliza wiki ijayoo....nafikiri tarehe ni ileile nimepewa update hio.F
Tukipata updatee tutaletaa....ngojaa tusubirii tu