Roboti Wa Nape
JF-Expert Member
- Nov 20, 2023
- 1,174
- 2,876
Msituulie watoto wetu huko.Vijana wanakulaa gwaride rehearsal hadi saa moja 😀😀.....awamu hii naonaa patawaka sana Mixer Uwepo wa Kamishna Awadhi aisee 🙌🙌
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msituulie watoto wetu huko.Vijana wanakulaa gwaride rehearsal hadi saa moja 😀😀.....awamu hii naonaa patawaka sana Mixer Uwepo wa Kamishna Awadhi aisee 🙌🙌
Vijana wameivaa....wako TimamuuMsituulie watoto wetu huko.
Wapya wameingia Porini? Kuna mwanangu, naamini atatoboa. Hivi hawa wapya watamaliza lini? Nimeona mmesema kuna PCCB poa, je hufanya kozi moja na Polisi then hutengwa kwenye vitengo mbalimbali au utaratibu upoje?Porini wametoka wako mjini wale wapya wako porini ........ ilikuwa 25 mwez huu wasepe wamesogezewa muda kidogo ila mwez huu huu wa 10 maana takukuru wao 26/10
Utaratibu wa kozi upoje na huchukua mida gani? Kwamba wameingia mwezi 10 watamaliza lini?Vijana wameivaa....wako Timamuu
Kozi kwa Sasa ni mwaka....ila kwa mfano hawa wapya nafikiri itategemeaa sababu kuna uchaguzi 2025 so wanaeza maliza before october mwakani.Utaratibu wa kozi upoje na huchukua mida gani? Kwamba wameingia mwezi 10 watamaliza lini?
Hawa wapya wako porinii na Kozi imeshafunguliwaa....wameanziaa porini kwenye ngumu kumezaa😀😀Wapya wameingia Porini? Kuna mwanangu, naamini atatoboa. Hivi hawa wapya watamaliza lini? Nimeona mmesema kuna PCCB poa, je hufanya kozi moja na Polisi then hutengwa kwenye vitengo mbalimbali au utaratibu upoje?
Kozi inahusu nini na nini huko porini?Hawa wapya wako porinii na Kozi imeshafunguliwaa....wameanziaa porini kwenye ngumu kumezaa😀😀
WapyaWapya wameingia Porini? Kuna mwanangu, naamini atatoboa. Hivi hawa wapya watamaliza lini? Nimeona mmesema kuna PCCB poa, je hufanya kozi moja na Polisi then hutengwa kwenye vitengo mbalimbali au utaratibu upoje?
Porinii ndo unaivishwa Mbinu za Medanii,,Mazoez ya utimamu wa mwili ,, na kozi yenyewe ndo unafundishwa Taaluma ya Polisi kwa ujumla.Kozi inahusu nini na nini huko porini?
Moshii Leoo imefurikaa🙌Chuma za dsm kwenda moshi Kwa mawakala tegeta zimekula sana vichwa raia wanaenda ccp
Sana mkuu nami Niko njiani Nije kuwaona vijana kesho wakilia kiapo ......wenzao baadhi hawakupata chance mkataba jkt unakata .. . Dogo alitema usahili wa. Police akasema Ana wait tpdf ..huko tpdf kala za usoMoshii Leoo imefurikaa🙌
Vijana wanakulaa gwaride rehearsal hadi saa moja 😀😀.....awamu hii naonaa patawaka sana Mixer Uwepo wa Kamishna Awadhi aisee
Ndege Tai umerud natumai ni mmoja wa vijana wahitimu hapo ccp hongera chiefUpo CCP ww?
Mie sipoo hapoo...ila tu kuna wanangu wamemalizaaUpo CCP ww?
Hii ya kubaguaa majeshii hua mbayaa sanaa kutaka Tpdf akat uhakika ni 0 sio poaSana mkuu nami Niko njiani Nije kuwaona vijana kesho wakilia kiapo ......wenzao baadhi hawakupata chance mkataba jkt unakata .. . Dogo alitema usahili wa. Police akasema Ana wait tpdf ..huko tpdf kala za uso
WE Ndege Tai nakumbuka nimekuona sana hapa JF kwenye threads mbalimbalii hasa zile za lonja za majeshii kuna wana walisema umetoboa upo kozii!! Hongera kwa kumaliza...vijana tunasubirii Lonja kutoka kwako utupe vitu vya uhakikaa vya hapo CCPUpo CCP ww?
Hivi hawa ambao waliochaguliwa kwenda kujiinga na polisi mwaka huu 2024 chuo cha polisi Moshi bado hawajaenda mpaka mwezi huu wa kumi au inakuaje wenye uwelewa adadavue.