Yes Mkuu nasepa Leo nilikuwa huku toka juz uko CCP Bado Leo takukuru Wana pass outUpo CCP ww?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes Mkuu nasepa Leo nilikuwa huku toka juz uko CCP Bado Leo takukuru Wana pass outUpo CCP ww?
Wako porini muda huu koz wamefungua juz tu , takukuru na police wapya Wanaweza sepa kesho kutapoaHivi hawa ambao waliochaguliwa kwenda kujiinga na polisi mwaka huu 2024 chuo cha polisi Moshi bado hawajaenda mpaka mwezi huu wa kumi au inakuaje wenye uwelewa adadavue.
Ndege Tai umerud natumai ni mmoja wa vijana wahitimu hapo ccp hongera chief
Mzee wa kazi nakubaliYes Mkuu nasepa Leo nilikuwa huku toka juz uko CCP Bado Leo takukuru Wana pass out
Daaah nzuri sana hii chiefWE Ndege Tai nakumbuka nimekuona sana hapa JF kwenye threads mbalimbalii hasa zile za lonja za majeshii kuna wana walisema umetoboa upo kozii!! Hongera kwa kumaliza...vijana tunasubirii Lonja kutoka kwako utupe vitu vya uhakikaa vya hapo CCP
Tuko pamoja mkuu Mungu awatangulie vijana utumishi wao nyakati hizi ukipata nafasi shukuru Mungu game gumu!!!!!Mzee wa kazi nakubali
Nakukumbukaa sanaa chief tulikua na uzi flani ulikuaga wa nafasi za magereza ambao hivi sasaa wapo kozii...kuna mdau alisema mle Ndege Tai na wana flan wengine aliwataja akasema hampo mmeingia CCP,,,hatimae umekujaa Shusha nondo kwa vijana😀Daaah nzuri sana hii chief
Hivi ni kweli kwa madogo wanaotumia vyeti vya 4m 4 na 4m 6 kuingia police mwisho 25 years au kuna wengine wanaingia na umri zaidi ya hapo?
Mara nyingii kwenye tangazo hua ndo hivyoo....Hivi ni kweli kwa madogo wanaotumia vyeti vya 4m 4 na 4m 6 kuingia police mwisho 25 years au kuna wengine wanaingia na umri zaidi ya hapo?
Aisee😅Pata nafasi tu Jana mtu ukimuona umr una cheza 30 kamaliza depo
Siri gani chiefHikii ni kweli aisee!! Kuna kitu niligusiwaa alooo ila acha iwage siri yanguu tuu😀
Ndo hua ikoje mana si kuna vyeti unaenda navyo?Hioo ya mambo ya umrii aisee😀😀