Tupeane updates za Ajira za Polisi 2024

Tupeane updates za Ajira za Polisi 2024

mimi nimepigwa chini,ila nilitamani sana sana kujua kama wale wa mzee kanituma kama wanaenda na hawa au wana bogi Lao,ili nianze kujisuka mapema
Pole,kama una mkubwa wa kukushika mkono ni kwamba hawa wakisharipoti wewe unaenda na kimemo tu unapokelewa,mawasiliano yanakuwa yameshafanyika kwa Mkuu wa Chuo kule na Chief Instructor,sidhani kama kunakuwa na Official PDF la Second Selection,ni vimemo vya mmojammoja tu kwenda kuripoti,maana hata hawa waliochaguliwa sio wote wataenda kuripoti,kuna wengine tangu walipofanya Usaili watakuwa wameshapata deal sehemu nyingine,kuna wengine wamekufa,wengine wamepata ajali,wengine wamepata mimba nk,namuonea Huruma Ry2199 kama atakuwa amekosa,maana alikuwa na moto sana wa Depo
 
mimi nimepigwa chini,ila nilitamani sana sana kujua kama wale wa mzee kanituma kama wanaenda na hawa au wana bogi Lao,ili nianze kujisuka mapema
Kama una mkubwa wa kukushika m
Wakuu hivi ni lazima kubeba tranka, na hivyo vifaa vya usafi au unaweza kununua hukohuko
Beba bag dogo,pale CCP ndani wale maafande wanaoishi mle wanauza kila kitu,pesa yako tu,Hongera kwa kupata nafasi
 
Ry2199 upo kwenye PDF kijana au wamekupiga Ndoige?tupe mrejesho maana ulikuwa na moto sana kijana wangu,yote kwa yote usikate tamaa kama wamekupiga chini
😂😂😂 Akomae kama kala ndoige
kama kapata akakaze
jamaa cmjui ila 2likuwa nae kene usaili Dodoma
Mimi nlikula ndoige mapema tu zile hatua za mwanzo yeye alibahatika kuendelea mpaka mwisho
 
mimi nimepigwa chini,ila nilitamani sana sana kujua kama wale wa mzee kanituma kama wanaenda na hawa au wana bogi Lao,ili nianze kujisuka mapema
Watakuwa wachache sana... Usikate Tamaa Kijana POLISI SIO MWISHO WA MAISHA.... KUNA MAISHA MAZURI SANA MBALI NA JESHI

BOGI LAZIMA LIWEPO ILA WACHACHE SANA NAAMINI....

All The Best Kazi Kitaa Kwanza
 
mimi nimepigwa chini,ila nilitamani sana sana kujua kama wale wa mzee kanituma kama wanaenda na hawa au wana bogi Lao,ili nianze kujisuka mapema
Watu wamaelekezo tayari wapo kwenye hilo Pdf mkuu...
Cha kuomba wewe ni huko CCP watu wanaingia waripoti wachache ama uende mbali sana uvae roho ya mnyama wapungue kwenye vipimo vya huko ndani ila mbali na hapo subili baada ya mwezi na wiki kadhaa wapo watakao tema bungo watachukua jazia nyama (reserve)
 
Watu wamaelekezo tayari wapo kwenye hilo Pdf mkuu...
Cha kuomba wewe ni huko CCP watu wanaingia waripoti wachache ama uende mbali sana uvae roho ya mnyama wapungue kwenye vipimo vya huko ndani ila mbali na hapo subili baada ya mwezi na wiki kadhaa wapo watakao tema bungo watachukua jazia nyama (reserve)
Dah,kweli kazi ipo kwa kweli sijisumbui tena na mambo ya majeshi,nitafanya mambo yangu mengine
 
Dah,kweli kazi ipo kwa kweli sijisumbui tena na mambo ya majeshi,nitafanya mambo yangu mengine
Komaa tu mzee huwezi jua ulipopangiwa usichoke kuomba ila haya Mambo ya majeshi ni ya wanajeshi wenyewe asee bila mbuyu kutoboa ni ngumu wanangu waliokua wanategemea bahati wameliwa vichwa ila wale wa maelekezo wote wapo kwenye pdf lao
 
Pole,kama una mkubwa wa kukushika mkono ni kwamba hawa wakisharipoti wewe unaenda na kimemo tu unapokelewa,mawasiliano yanakuwa yameshafanyika kwa Mkuu wa Chuo kule na Chief Instructor,sidhani kama kunakuwa na Official PDF la Second Selection,ni vimemo vya mmojammoja tu kwenda kuripoti,maana hata hawa waliochaguliwa sio wote wataenda kuripoti,kuna wengine tangu walipofanya Usaili watakuwa wameshapata deal sehemu nyingine,kuna wengine wamekufa,wengine wamepata ajali,wengine wamepata mimba nk,namuonea Huruma Ry2199 kama atakuwa amekosa,maana alikuwa na moto sana wa Depo
Sorry mkuu usafiri ni juu yetu au watatusafirisha naona wamedirect kwa ma rpc au kama kuna mtu temeke tusaidiane wakuu
 
Sorry mkuu usafiri ni juu yetu au watatusafirisha naona wamedirect kwa ma rpc au kama kuna mtu temeke tusaidiane wakuu
namaanisha kama kuna wa temeke aliyepita msaada info wakuu
 
Enzi naingia Depo ni jukumu la RPC wa Mkoa unakoingilia kukusafirisha mpaka CCP mkisindikizwa na Askari wake mmoja au wawili atakaowateua,hivyo RPC anakodi basi mfano vijana wa Mwanza wote mnapakiwa humo mpaka CCP,hivyo Usafiri ni bure
 
Enzi naingia Depo ni jukumu la RPC wa Mkoa unakoingilia kukusafirisha mpaka CCP mkisindikizwa na Askari wake mmoja au wawili atakaowateua,hivyo RPC anakodi basi mfano vijana wa Mwanza wote mnapakiwa humo mpaka CCP,hivyo Usafiri ni bure
Na hata sikuizii inakua hvoo mda mwinginee...mfano depo linalomaliza hivi sasa ilikua hivoo pia
 
Back
Top Bottom