Tupeane updates za Ajira za Polisi 2024

Hivi hawa ambao waliochaguliwa kwenda kujiinga na polisi mwaka huu 2024 chuo cha polisi Moshi bado hawajaenda mpaka mwezi huu wa kumi au inakuaje wenye uwelewa adadavue.
Wako porini muda huu koz wamefungua juz tu , takukuru na police wapya Wanaweza sepa kesho kutapoa
 
WE Ndege Tai nakumbuka nimekuona sana hapa JF kwenye threads mbalimbalii hasa zile za lonja za majeshii kuna wana walisema umetoboa upo kozii!! Hongera kwa kumaliza...vijana tunasubirii Lonja kutoka kwako utupe vitu vya uhakikaa vya hapo CCP
Daaah nzuri sana hii chief
 
Hivi ni kweli kwa madogo wanaotumia vyeti vya 4m 4 na 4m 6 kuingia police mwisho 25 years au kuna wengine wanaingia na umri zaidi ya hapo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…