Tupeane updates za Ajira za Polisi 2024

Tupeane updates za Ajira za Polisi 2024

Hapa kuna orodha ya baadhi ya vyeo vya polisi nchini Tanzania pamoja na makadirio ya mishahara yao. Mishahara inaweza kutofautiana kulingana na kiwango cha uzoefu, elimu, na nafasi maalum za kazi:

### Vyeo vya Polisi na Makadirio ya Mishahara
1. Koplo (Constable):
- Makadirio ya Mshahara: TZS 300,000 - 450,000 kwa mwezi

2. Koplo Mkuu (Corporal):
- Makadirio ya Mshahara: TZS 350,000 - 500,000 kwa mwezi

3. Sajenti (Sergeant):
- Makadirio ya Mshahara: TZS 400,000 - 550,000 kwa mwezi

4. Staff Sajenti (Staff Sergeant):
- Makadirio ya Mshahara: TZS 450,000 - 600,000 kwa mwezi

5. Inspekta Msaidizi (Assistant Inspector):
- Makadirio ya Mshahara: TZS 500,000 - 650,000 kwa mwezi

6. Inspekta (Inspector):
- Makadirio ya Mshahara: TZS 600,000 - 800,000 kwa mwezi

7. Mkaguzi Msaidizi (Assistant Superintendent):
- Makadirio ya Mshahara: TZS 700,000 - 900,000 kwa mwezi

8. Mkaguzi (Superintendent):
- Makadirio ya Mshahara: TZS 800,000 - 1,000,000 kwa mwezi

9. Mrakibu Msaidizi (Assistant Commissioner):
- Makadirio ya Mshahara: TZS 1,000,000 - 1,200,000 kwa mwezi

10. Mrakibu (Commissioner):
- Makadirio ya Mshahara: TZS 1,200,000 - 1,500,000 kwa mwezi

11. Mrakibu Mkuu (Senior Commissioner):
- Makadirio ya Mshahara: TZS 1,500,000 - 2,000,000 kwa mwezi

12. Kamishna Msaidizi (Assistant Commissioner of Police):
- Makadirio ya Mshahara: TZS 2,000,000 - 2,500,000 kwa mwezi

13. Kamishna (Commissioner of Police):
- Makadirio ya Mshahara: TZS 2,500,000 - 3,000,000 kwa mwezi

14. Kamishna Mkuu (Inspector General of Police - IGP):
- Makadirio ya Mshahara: TZS 3,000,000 na zaidi kwa mwezi

### Posho na Marupurupu
Mbali na mshahara wa msingi, polisi nchini Tanzania pia hupata posho na marupurupu mbalimbali, kama vile:

  • Posho ya Nyumba: Inategemea cheo na eneo la kazi, inaweza kuwa TZS 50,000 - 200,000 kwa mwezi.
  • Posho ya Usafiri: Inategemea cheo na aina ya kazi, inaweza kuwa TZS 50,000 - 150,000 kwa mwezi.
  • Posho ya Hatari: Kwa kazi zinazohusisha hatari kubwa, inaweza kuwa TZS 100,000 - 300,000 kwa mwezi.
  • Posho za Kazi za Ziada: Inategemea aina ya kazi na muda wa ziada, inaweza kuwa TZS 50,000 - 150,000 kwa mwezi.

Makadirio haya ni ya jumla na yanaweza kutofautiana kulingana na sera za ajira, bajeti ya serikali, na mabadiliko ya kiuchumi. Kwa taarifa za kina na sahihi zaidi, ni vyema kuwasiliana moja kwa moja na Jeshi la Polisi la Tanzania au kitengo cha utumishi cha polisi.
Hakuna mishahara hii polisi
Mishahara ya polisi unalipwa kwa aina mbili kwa cheo na elimu (nayo inatofautiana kulingana na kada;afya,Tehama na nyinginezo)
Mf. Form 4(Constable) analipwa wastani wa 460+
Form 6 (constable) analipwa mshahara sawa na koplo
Diploma (Constable) analipwa sawa na Sargent kwa kada nyinginezo na kwa kada ya afya analipwa sawa sm(RSM)
Degree (constable) analipwa sawa sm (RSM) kwa kada nyinginezo, Tehama analipwa sawa Assistant inspector, na kada ya afya analipwa sawa superintendent
Nawasilisha
 
CCP Ni Kambi Mama Kwa Mafunzo Ya Jeshi La Polisi Pamoja Na Kuwa Ina Kambi Nyingine Mbili Zilizopo Kilimanjaro Pia Zinazoitwa KAMBAPORI Na KILELEPORI. .. CCP Ni Kambi Kubwa Kwa KWELII, Majengo Ya KUTOSHA Na Wakufunzi Waliobobea Kwenye Mafunzo.

Sifa Za Kutoboa Ni NIDHAMU Cha Kwanza, UVUMILIVU Ndo Jambo Mama Maana Nidhamu Lazima Itakuja Maana Wote Ni Watafutaji Na Lengo Ni Kumaliza Kozi Kazi Za Watu Ziendelee.

Kama Kawaida Kila Siku Mtaamka Saa 8 Usiku Mabio Almost Kilomita 7 Kuzunguka Kambi Nzima... Hamtakimbia Jumapili Tu Pamoja Na Siku Za Sikukuu Tu.

Mbali Na Mafunzo AFYA Ndo MTAJI Wako Muhimu Ili Umalize Mafunzo, Tunza Afya Yako... Vaa Viatu Vizuri Vyenye Soli Kubwa Chini.

Acha Kujionesha Mbele Ya Maafande, Acha Sifa Za Kutaka Kuonesha UNAA Mbele Ya Wenzio Na Maafande.

Ushirikiano Na Wenzio/Viongozi Wa Platoon/Kombania Ndo Itakufanya Umalize Kozi.

Hudhuria Fatiki/Kazi Zote Zilizopangwa Acha Kudoji Vipindi Mbalimbali


Mbaya Zaidi Lugha Za Matusi, Kupigana Na Kuibiana Ni Jambo Ambalo Huwezi Kusamehewa Kamwe Ni Kufukuzwa.

Mapenzi Mwiko Kambini... Uvumilie

Mengi Zaidi Tutajuzana... Mwenye Swali Lolote Anakaribishwa Nitajitahidi Kujibu Kadiri Navyoona Inafaa Bila Kupotosha Jambo.


Asante.
 
Hapa kuna orodha ya baadhi ya vyeo vya polisi nchini Tanzania pamoja na makadirio ya mishahara yao. Mishahara inaweza kutofautiana kulingana na kiwango cha uzoefu, elimu, na nafasi maalum za kazi:

### Vyeo vya Polisi na Makadirio ya Mishahara
1. Koplo (Constable):
- Makadirio ya Mshahara: TZS 300,000 - 450,000 kwa mwezi

2. Koplo Mkuu (Corporal):
- Makadirio ya Mshahara: TZS 350,000 - 500,000 kwa mwezi

3. Sajenti (Sergeant):
- Makadirio ya Mshahara: TZS 400,000 - 550,000 kwa mwezi

4. Staff Sajenti (Staff Sergeant):
- Makadirio ya Mshahara: TZS 450,000 - 600,000 kwa mwezi

5. Inspekta Msaidizi (Assistant Inspector):
- Makadirio ya Mshahara: TZS 500,000 - 650,000 kwa mwezi

6. Inspekta (Inspector):
- Makadirio ya Mshahara: TZS 600,000 - 800,000 kwa mwezi

7. Mkaguzi Msaidizi (Assistant Superintendent):
- Makadirio ya Mshahara: TZS 700,000 - 900,000 kwa mwezi

8. Mkaguzi (Superintendent):
- Makadirio ya Mshahara: TZS 800,000 - 1,000,000 kwa mwezi

9. Mrakibu Msaidizi (Assistant Commissioner):
- Makadirio ya Mshahara: TZS 1,000,000 - 1,200,000 kwa mwezi

10. Mrakibu (Commissioner):
- Makadirio ya Mshahara: TZS 1,200,000 - 1,500,000 kwa mwezi

11. Mrakibu Mkuu (Senior Commissioner):
- Makadirio ya Mshahara: TZS 1,500,000 - 2,000,000 kwa mwezi

12. Kamishna Msaidizi (Assistant Commissioner of Police):
- Makadirio ya Mshahara: TZS 2,000,000 - 2,500,000 kwa mwezi

13. Kamishna (Commissioner of Police):
- Makadirio ya Mshahara: TZS 2,500,000 - 3,000,000 kwa mwezi

14. Kamishna Mkuu (Inspector General of Police - IGP):
- Makadirio ya Mshahara: TZS 3,000,000 na zaidi kwa mwezi

### Posho na Marupurupu
Mbali na mshahara wa msingi, polisi nchini Tanzania pia hupata posho na marupurupu mbalimbali, kama vile:

  • Posho ya Nyumba: Inategemea cheo na eneo la kazi, inaweza kuwa TZS 50,000 - 200,000 kwa mwezi.
  • Posho ya Usafiri: Inategemea cheo na aina ya kazi, inaweza kuwa TZS 50,000 - 150,000 kwa mwezi.
  • Posho ya Hatari: Kwa kazi zinazohusisha hatari kubwa, inaweza kuwa TZS 100,000 - 300,000 kwa mwezi.
  • Posho za Kazi za Ziada: Inategemea aina ya kazi na muda wa ziada, inaweza kuwa TZS 50,000 - 150,000 kwa mwezi.

Makadirio haya ni ya jumla na yanaweza kutofautiana kulingana na sera za ajira, bajeti ya serikali, na mabadiliko ya kiuchumi. Kwa taarifa za kina na sahihi zaidi, ni vyema kuwasiliana moja kwa moja na Jeshi la Polisi la Tanzania au kitengo cha utumishi cha polisi.
Hii Mishahara Sio Sahihi... Makadirio Yapo Chini Sana Bado... Nitakuja Kuonesha Na Mishahara Yao Pamoja Na Michanganuo Ya Posho Pia Hapo Mbele Kidogo...
 
CCP Ni Kambi Mama Kwa Mafunzo Ya Jeshi La Polisi Pamoja Na Kuwa Ina Kambi Nyingine Mbili Zilizopo Kilimanjaro Pia Zinazoitwa KAMBAPORI Na KILELEPORI. .. CCP Ni Kambi Kubwa Kwa KWELII, Majengo Ya KUTOSHA Na Wakufunzi Waliobobea Kwenye Mafunzo.

Sifa Za Kutoboa Ni NIDHAMU Cha Kwanza, UVUMILIVU Ndo Jambo Mama Maana Nidhamu Lazima Itakuja Maana Wote Ni Watafutaji Na Lengo Ni Kumaliza Kozi Kazi Za Watu Ziendelee.

Kama Kawaida Kila Siku Mtaamka Saa 8 Usiku Mabio Almost Kilomita 7 Kuzunguka Kambi Nzima... Hamtakimbia Jumapili Tu Pamoja Na Siku Za Sikukuu Tu.

Mbali Na Mafunzo AFYA Ndo MTAJI Wako Muhimu Ili Umalize Mafunzo, Tunza Afya Yako... Vaa Viatu Vizuri Vyenye Soli Kubwa Chini.

Acha Kujionesha Mbele Ya Maafande, Acha Sifa Za Kutaka Kuonesha UNAA Mbele Ya Wenzio Na Maafande.

Ushirikiano Na Wenzio/Viongozi Wa Platoon/Kombania Ndo Itakufanya Umalize Kozi.

Hudhuria Fatiki/Kazi Zote Zilizopangwa Acha Kudoji Vipindi Mbalimbali


Mbaya Zaidi Lugha Za Matusi, Kupigana Na Kuibiana Ni Jambo Ambalo Huwezi Kusamehewa Kamwe Ni Kufukuzwa.

Mapenzi Mwiko Kambini... Uvumilie

Mengi Zaidi Tutajuzana... Mwenye Swali Lolote Anakaribishwa Nitajitahidi Kujibu Kadiri Navyoona Inafaa Bila Kupotosha Jambo.


Asante.
Simu pia
 
CCP Ni Kambi Mama Kwa Mafunzo Ya Jeshi La Polisi Pamoja Na Kuwa Ina Kambi Nyingine Mbili Zilizopo Kilimanjaro Pia Zinazoitwa KAMBAPORI Na KILELEPORI. .. CCP Ni Kambi Kubwa Kwa KWELII, Majengo Ya KUTOSHA Na Wakufunzi Waliobobea Kwenye Mafunzo.

Sifa Za Kutoboa Ni NIDHAMU Cha Kwanza, UVUMILIVU Ndo Jambo Mama Maana Nidhamu Lazima Itakuja Maana Wote Ni Watafutaji Na Lengo Ni Kumaliza Kozi Kazi Za Watu Ziendelee.

Kama Kawaida Kila Siku Mtaamka Saa 8 Usiku Mabio Almost Kilomita 7 Kuzunguka Kambi Nzima... Hamtakimbia Jumapili Tu Pamoja Na Siku Za Sikukuu Tu.

Mbali Na Mafunzo AFYA Ndo MTAJI Wako Muhimu Ili Umalize Mafunzo, Tunza Afya Yako... Vaa Viatu Vizuri Vyenye Soli Kubwa Chini.

Acha Kujionesha Mbele Ya Maafande, Acha Sifa Za Kutaka Kuonesha UNAA Mbele Ya Wenzio Na Maafande.

Ushirikiano Na Wenzio/Viongozi Wa Platoon/Kombania Ndo Itakufanya Umalize Kozi.

Hudhuria Fatiki/Kazi Zote Zilizopangwa Acha Kudoji Vipindi Mbalimbali


Mbaya Zaidi Lugha Za Matusi, Kupigana Na Kuibiana Ni Jambo Ambalo Huwezi Kusamehewa Kamwe Ni Kufukuzwa.

Mapenzi Mwiko Kambini... Uvumilie

Mengi Zaidi Tutajuzana... Mwenye Swali Lolote Anakaribishwa Nitajitahidi Kujibu Kadiri Navyoona Inafaa Bila Kupotosha Jambo.


Asante.
Vipi issue ya kupata kitengo mafunzoni hili lipoje mkuu
 
Vipi issue ya kupata kitengo mafunzoni hili lipoje mkuu
Vitengo Vipo Vingi Tu Ila Inategemea Na Depo... Mfano Kuna Baadhi Ya Depo Wanaruhusu Sana Vitengo Kutokana Na Uhitaji Ila Usitegemee Sana Vitengo Maana Baadae Mbeleni Itakuja Kuwasumbua Hasa Mwishoni Mwa Kozi Na Hata Mkifika Mikoani.

Maana Hautojua KWATA Sana Pamoja Na SILAHA Hautoifahamu Kwa Undani Zaidi

Mfano Madaktari, Manesi Na wenye Taaluma za Afya huwa Wanapelekwa Zahanati Kama Kitengo.

Pia kama kuna Ujenzi Baadhi Kujichagua/Kuteuliwa Kwenda Kitengo

USHAURI: Usitegemee Sana Vitengo Maana Sio Nzuri Na Itakufanya Kuonekana MZEMBE Sana Ukiwa Kwenye Majukumu Yako Hapo Mbeleni... Nenda Kafanye Mafunzo Sio KUANGUSHIA KOZI
 
CCP Ni Kambi Mama Kwa Mafunzo Ya Jeshi La Polisi Pamoja Na Kuwa Ina Kambi Nyingine Mbili Zilizopo Kilimanjaro Pia Zinazoitwa KAMBAPORI Na KILELEPORI. .. CCP Ni Kambi Kubwa Kwa KWELII, Majengo Ya KUTOSHA Na Wakufunzi Waliobobea Kwenye Mafunzo.

Sifa Za Kutoboa Ni NIDHAMU Cha Kwanza, UVUMILIVU Ndo Jambo Mama Maana Nidhamu Lazima Itakuja Maana Wote Ni Watafutaji Na Lengo Ni Kumaliza Kozi Kazi Za Watu Ziendelee.

Kama Kawaida Kila Siku Mtaamka Saa 8 Usiku Mabio Almost Kilomita 7 Kuzunguka Kambi Nzima... Hamtakimbia Jumapili Tu Pamoja Na Siku Za Sikukuu Tu.

Mbali Na Mafunzo AFYA Ndo MTAJI Wako Muhimu Ili Umalize Mafunzo, Tunza Afya Yako... Vaa Viatu Vizuri Vyenye Soli Kubwa Chini.

Acha Kujionesha Mbele Ya Maafande, Acha Sifa Za Kutaka Kuonesha UNAA Mbele Ya Wenzio Na Maafande.

Ushirikiano Na Wenzio/Viongozi Wa Platoon/Kombania Ndo Itakufanya Umalize Kozi.

Hudhuria Fatiki/Kazi Zote Zilizopangwa Acha Kudoji Vipindi Mbalimbali


Mbaya Zaidi Lugha Za Matusi, Kupigana Na Kuibiana Ni Jambo Ambalo Huwezi Kusamehewa Kamwe Ni Kufukuzwa.

Mapenzi Mwiko Kambini... Uvumilie

Mengi Zaidi Tutajuzana... Mwenye Swali Lolote Anakaribishwa Nitajitahidi Kujibu Kadiri Navyoona Inafaa Bila Kupotosha Jambo.


Asante.
Naam shukran mkuu
 
Vitengo Vipo Vingi Tu Ila Inategemea Na Depo... Mfano Kuna Baadhi Ya Depo Wanaruhusu Sana Vitengo Kutokana Na Uhitaji Ila Usitegemee Sana Vitengo Maana Baadae Mbeleni Itakuja Kuwasumbua Hasa Mwishoni Mwa Kozi Na Hata Mkifika Mikoani.

Maana Hautojua KWATA Sana Pamoja Na SILAHA Hautoifahamu Kwa Undani Zaidi

Mfano Madaktari, Manesi Na wenye Taaluma za Afya huwa Wanapelekwa Zahanati Kama Kitengo.

Pia kama kuna Ujenzi Baadhi Kujichagua/Kuteuliwa Kwenda Kitengo

USHAURI: Usitegemee Sana Vitengo Maana Sio Nzuri Na Itakufanya Kuonekana MZEMBE Sana Ukiwa Kwenye Majukumu Yako Hapo Mbeleni... Nenda Kafanye Mafunzo Sio KUANGUSHIA KOZI
Noted ✍️
 
Vitengo Vipo Vingi Tu Ila Inategemea Na Depo... Mfano Kuna Baadhi Ya Depo Wanaruhusu Sana Vitengo Kutokana Na Uhitaji Ila Usitegemee Sana Vitengo Maana Baadae Mbeleni Itakuja Kuwasumbua Hasa Mwishoni Mwa Kozi Na Hata Mkifika Mikoani.

Maana Hautojua KWATA Sana Pamoja Na SILAHA Hautoifahamu Kwa Undani Zaidi

Mfano Madaktari, Manesi Na wenye Taaluma za Afya huwa Wanapelekwa Zahanati Kama Kitengo.

Pia kama kuna Ujenzi Baadhi Kujichagua/Kuteuliwa Kwenda Kitengo

USHAURI: Usitegemee Sana Vitengo Maana Sio Nzuri Na Itakufanya Kuonekana MZEMBE Sana Ukiwa Kwenye Majukumu Yako Hapo Mbeleni... Nenda Kafanye Mafunzo Sio KUANGUSHIA KOZI
Ni kweli lakini kaka c unajua tena wengine tunaforce tuu sio kwamba hatupendi bali Kuna muda mwili unakusaliti
 
CCP Ni Kambi Mama Kwa Mafunzo Ya Jeshi La Polisi Pamoja Na Kuwa Ina Kambi Nyingine Mbili Zilizopo Kilimanjaro Pia Zinazoitwa KAMBAPORI Na KILELEPORI. .. CCP Ni Kambi Kubwa Kwa KWELII, Majengo Ya KUTOSHA Na Wakufunzi Waliobobea Kwenye Mafunzo.

Sifa Za Kutoboa Ni NIDHAMU Cha Kwanza, UVUMILIVU Ndo Jambo Mama Maana Nidhamu Lazima Itakuja Maana Wote Ni Watafutaji Na Lengo Ni Kumaliza Kozi Kazi Za Watu Ziendelee.

Kama Kawaida Kila Siku Mtaamka Saa 8 Usiku Mabio Almost Kilomita 7 Kuzunguka Kambi Nzima... Hamtakimbia Jumapili Tu Pamoja Na Siku Za Sikukuu Tu.

Mbali Na Mafunzo AFYA Ndo MTAJI Wako Muhimu Ili Umalize Mafunzo, Tunza Afya Yako... Vaa Viatu Vizuri Vyenye Soli Kubwa Chini.

Acha Kujionesha Mbele Ya Maafande, Acha Sifa Za Kutaka Kuonesha UNAA Mbele Ya Wenzio Na Maafande.

Ushirikiano Na Wenzio/Viongozi Wa Platoon/Kombania Ndo Itakufanya Umalize Kozi.

Hudhuria Fatiki/Kazi Zote Zilizopangwa Acha Kudoji Vipindi Mbalimbali


Mbaya Zaidi Lugha Za Matusi, Kupigana Na Kuibiana Ni Jambo Ambalo Huwezi Kusamehewa Kamwe Ni Kufukuzwa.

Mapenzi Mwiko Kambini... Uvumilie

Mengi Zaidi Tutajuzana... Mwenye Swali Lolote Anakaribishwa Nitajitahidi Kujibu Kadiri Navyoona Inafaa Bila Kupotosha Jambo.


Asante.
Vip kuhusu utaratibu wa kupata cheo, hua wanazingatia nini kwa askar mpya kupandishwa cheo ukiachana na icho cheo cha kwanza cha uconstable?
 
Hakuna mishahara hii polisi
Mishahara ya polisi unalipwa kwa aina mbili kwa cheo na elimu (nayo inatofautiana kulingana na kada;afya,Tehama na nyinginezo)
Mf. Form 4(Constable) analipwa wastani wa 460+
Form 6 (constable) analipwa mshahara sawa na koplo
Diploma (Constable) analipwa sawa na Sargent kwa kada nyinginezo na kwa kada ya afya analipwa sawa sm(RSM)
Degree (constable) analipwa sawa sm (RSM) kwa kada nyinginezo, Tehama analipwa sawa Assistant inspector, na kada ya afya analipwa sawa superintendent
Nawasilisha
Kweli kabisa mkuu👍
 
Vitengo Vipo Vingi Tu Ila Inategemea Na Depo... Mfano Kuna Baadhi Ya Depo Wanaruhusu Sana Vitengo Kutokana Na Uhitaji Ila Usitegemee Sana Vitengo Maana Baadae Mbeleni Itakuja Kuwasumbua Hasa Mwishoni Mwa Kozi Na Hata Mkifika Mikoani.

Maana Hautojua KWATA Sana Pamoja Na SILAHA Hautoifahamu Kwa Undani Zaidi

Mfano Madaktari, Manesi Na wenye Taaluma za Afya huwa Wanapelekwa Zahanati Kama Kitengo.

Pia kama kuna Ujenzi Baadhi Kujichagua/Kuteuliwa Kwenda Kitengo

USHAURI: Usitegemee Sana Vitengo Maana Sio Nzuri Na Itakufanya Kuonekana MZEMBE Sana Ukiwa Kwenye Majukumu Yako Hapo Mbeleni... Nenda Kafanye Mafunzo Sio KUANGUSHIA KOZI
Na
Vitengo Vipo Vingi Tu Ila Inategemea Na Depo... Mfano Kuna Baadhi Ya Depo Wanaruhusu Sana Vitengo Kutokana Na Uhitaji Ila Usitegemee Sana Vitengo Maana Baadae Mbeleni Itakuja Kuwasumbua Hasa Mwishoni Mwa Kozi Na Hata Mkifika Mikoani.

Maana Hautojua KWATA Sana Pamoja Na SILAHA Hautoifahamu Kwa Undani Zaidi

Mfano Madaktari, Manesi Na wenye Taaluma za Afya huwa Wanapelekwa Zahanati Kama Kitengo.

Pia kama kuna Ujenzi Baadhi Kujichagua/Kuteuliwa Kwenda Kitengo

USHAURI: Usitegemee Sana Vitengo Maana Sio Nzuri Na Itakufanya Kuonekana MZEMBE Sana Ukiwa Kwenye Majukumu Yako Hapo Mbeleni... Nenda Kafanye Mafunzo Sio KUANGUSHIA KOZI
Na je vipi Kama ikatokea katikati ya corse ukaumwa may b ikakuhitaji ukae bila kufanya issues ngumu Kwa miezi miwili au mitatu apa unarudishwa nyumbani au watakuvumilia
 
Na

Na je vipi Kama ikatokea katikati ya corse ukaumwa may b ikakuhitaji ukae bila kufanya issues ngumu Kwa miezi miwili au mitatu apa unarudishwa nyumbani au watakuvumilia
Naskia ukienda uko ishu ya kuomba mungu ni kwamba usiumweumwe hovyo mzee ukiwa unaumwaumwa wanakwambia ww ni unfit then unarud nyumban na nafas yako chapu tu anapewa mtu mwingine 🤔
 
Vip kuhusu utaratibu wa kupata cheo, hua wanazingatia nini kwa askar mpya kupandishwa cheo ukiachana na icho cheo cha kwanza cha uconstable?
i.elimu
ii.nidhamu
iii.utendaji kazi nzuri
iv.weledi,fanya kazi kwa uadilifu ukiharibu kazi zao watakushitaki na mashitaka yatakuondoa kwenye sifa ya kupata cheo kwa miaka kadhaa.

C&P.
 
Hongera sana kaka Idd, umekuwa mtu mwema sana na muwazi. Hakika u mweledi lkn pia mtu muungwana sana. Umetufunulia uhalisia. Tunawataka memba kama wewe, unachokijua unakisema kwa usahihi kusaidia jamii. Mungu akubariki sana.

Mimi binafsi Polisi nawachukia sana tu. Walinifanyia ubabe wa kunirusha kichura kama mita 300 hv mwaka 2001 bila kuwa na kosa lolote. Ilikuwa saa 12.15 jioni eti nikakamatwa kwa uzembe na uzurulaji nikitoka kwenye kibarua changu naenda geto. Hawakutaka kunisikiliza japo walinifahamu hadi nilipoachiliwa saa 5 za usiku baada ya kusaidiwa na wadau. Niliumia sana moyoni hadi leo hii sitaki hata mwanangu awe polisi.
Ila kwa sasa nakutana nao kwenye utekelezaji wa majukumu mbalimbali ya serikali lkn sitaki niwe na rafiki yeyote ambaye ni polisi.

Mnaoenda kuipata kazi hii nendeni mkawe watu wema, mkatende kwa haki kwa raia wote hasa wale wanyonge. Msiwaumize wenzenu kibabe. Mtaba

Km 14 kawaida watu watakimbia tu
Endeleeni kubishana watu walisha ripoti TPS kitambo
 
Back
Top Bottom