Fundi manyumba
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 3,799
- 8,063
Pdf mpaka mwezi wa tisa wakuu...
Hii ni official
Hii ni official
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa nimekaa pale...endelea kusubiriNyie ndio nduli idd amini dada alikuwa anawatafuta awakate mtako
Anatukana mamba kabla hajavuka mto...muache sindano itamuingia jina lake tuna likata...hata interview hatoisogeleaUsifike huko mkuu😂😂
Liko wapi ilo pdfSawa nimekaa pale...endelea kusubiri
Mmh wa9 kivipi sasa?!Pdf mpaka mwezi wa tisa wakuu...
Hii ni official
Tupambane Kitaa huku tukiendelea kusubir mkuuOy wanangue ngoja me niendelee kupambna kitaa mana sioni kitakacho endelea bola at wasnge toa ata hizo Ajira Kam mpaka mda huu holaa yeeeh
Kwahyo hata interview hatoisogelea 😂😂😂Anatukana mamba kabla hajavuka mto...muache sindano itamuingia jina lake tuna likata...hata interview hatoisogelea
Msikate jina ilo mkuu maana hayo ndo maisha ya mtu, kijana katelezaAnatukana mamba kabla hajavuka mto...muache sindano itamuingia jina lake tuna likata...hata interview hatoisogelea
Tupambane Kitaa huku tukiendelea kusubir mkuu
Mpaka madogo watoke jkt kule after two week ndo mtaitwa usailiMmh wa9 kivipi sasa?!
Duuh owh wauni naona Kam wanatuchorexh tuMpaka madogo watoke jkt kule after two week ndo mtaitwa usaili
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kitu gan icho umekiamin?[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sitaki uchochezi, em niachee.una tukulipe bilioni ngap kwa mwezi madam?
Muongo wee. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Watu wanakaribia kuanza kozi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hapana mkuu ila ndo imepangwa hvo maana kuna madogo wataunga kutokea kuleDuuh owh wauni naona Kam wanatuchorexh tu
Mm mwemyew nawaza had sio poa mbona nadhalilika hukuWakuu kwahyo mwezi huu ndo kweli bilabila mpka mwez wa10 au maana daah siku zinazid kwenda🙆
AhahahahaMm mwemyew nawaza had sio poa mbona nadhalilika huku