Kidjohuncho21
Member
- May 13, 2024
- 13
- 17
Ndo wapi kaka???Dodoma tunakutana CIVE kule UDOM
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo wapi kaka???Dodoma tunakutana CIVE kule UDOM
Sawa OCDWakuu hakikisha unaijua wizara ya mambo ya ndani na idara zake zote nne na kaz zake….sawa maafande?📢
Mkuu uo u OCD nimeupata lin sasa?😂Sawa OCD
Mi napita zanguMkuu uo u OCD nimeupata lin sasa?😂
Sawa mkuuMi napita zangu
Kweli shuhuri ni pevu dadekiiii...
hivi maswali unapita mbele unaulizwa au ndio kuandikishana?😂😂
Acha watu wakale doso maana raia 31K+ Tz mpatikane watu buku mbili sio mchezo..
maana watu wanaofanyia usahil Dom ni wengi kuliko wanaohitajika CPP🙌
Mimi ni mchawi nmetoka gambosh niko hapa.......oa mkuu hichi ni kimbembeNaskia ukifika pale baada ya kukabidhi vyeti unaweza usiulizwe chochote ila ukaambuwa tu “jielezee” alooo sasa we jichanganye jiumeume tu….hautaamin
😁😁Mimi ni mchawi nmetoma gambosh niko hapa.......oa mkuu hichi ni kimbembe
We acha tu yasije kuwa kama yale watu walifoka sana baad ya watu kufanyiwa usahil wale wa Form four div 4 za mwishoni huko hizo 3,2,1 na 4ya 26 wakapigwa chin wacjesumbua kwenda kusoma mbelen😂Utapigwa mchujo mtakatifu🔥