Tupeane updates za Ajira za Polisi 2024

Tupeane updates za Ajira za Polisi 2024

Kuna watu wamemaliza jana wengine tunamaliza leo. Kilichobaki ni kusubiri sasa hilo pdf la mwisho watu wa fani mpooooo🗣️🔊🔊🔊
 
Hapa dodoma leo umepigwa mchujo mkali sana kudadeq😂😂😂😂
 
Dodoma tulikua watu kama elfu3 lakin limepigwa panga moja then tukabak watu kama 300 na kitu hivi😂
Kwan majibu wanatoa hapohapo mkuu mi nikajua wanasaili wote wanasubiri PDF ya mwisho ya makao au huko wanamaliza kabisa
 
Dodoma tulikua watu kama elfu3 lakin limepigwa panga moja then tukabak watu kama 300 na kitu hivi😂
Kudadekiii😮‍💨😮‍💨 Tatizo Dodoma nanyie mko wengi sanaaaa bhn ko wakaona wajipunguzie mzigo mapemaa
 
Back
Top Bottom