Eddy Oscar
New Member
- May 24, 2019
- 2
- 0
Dah watu 300 form 4 na 6 au form 6 pekeake?Dodoma tulikua watu kama elfu3 lakin limepigwa panga moja then tukabak watu kama 300 na kitu hivi😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah watu 300 form 4 na 6 au form 6 pekeake?Dodoma tulikua watu kama elfu3 lakin limepigwa panga moja then tukabak watu kama 300 na kitu hivi😂
2endelee kupambana tu sema haya mambo bila maelekezo ni uongo. Mim nmepga usaili Dom, jina langu halijaitwa sema ni usenge m2 uwanjani unatoa mibio afu kuna akina BIG round 1 wamelala chaliiiii majina yao yapo kene kuendelea 😂😂😂
huyo Big sisipi ni pi😂🥹Pole mkuu….BIG bado yupo sana tu na si ajabu akatimba ccp😂😂😂
Kabisa nilikuaga nackia tu ila now nmejionea kaka sas kulikuwa na maana gani ya ku2kimbiza kama hata ukikidimua ukawa wa kwanza unakatwa jina afu waliokata moto wanaendelea 😂😂😂6Hahahaha nimecheka kinoma noma maelekezo muhimu kaka
Kwhyo mwanangu yuko sahihi kutoa mpungaPambaneni wakuu. Ila bila mpunga kutoboa ni uongo
Parefu pengine ndo uhakikaMbn kama parefu sana mhnh
Asithubutu, bola uo mtonyo akapige biashara wallahParefu pengine ndo uhakika
Watu300 ni form4 na form6 kwa pamoja ndo tuliobakiDah watu 300 form 4 na 6 au form 6 pekeake?
Weee! Usiniambie😟Wale wa mbeya piaa panga limepita la maana.
Big mda wote analala mule kweny lile gar bovu anapiga usingz wa kutoshaa😂😂kaka wee acha2 nadhani wee mwnyewe BIG umemuona alikuwa analala tu kene Corolla mule 😂😂😂
alikuwa hana cha kupoteza dah sema baridi tu ngoja niendelee kuungua mtaani 😂😂😂Big mda wote analala mule kweny lile gar bovu anapiga usingz wa kutoshaa😂😂
Dodoma tulikua watu kama elfu3 lakin limepigwa panga moja then tukabak watu kama 300 na kitu hivi😂
Pwani bado panga halijapita ila wameshafanya vipimo vya afya na mtihani toka J5 kesho wanaenda kukimbia sasaNa mkoa wa pwani majibu vipi jamani ndugu zangu?
Okey kwa iyo kwenye week mbili zijazo watu wanaweza kuwa Arusha?Pwani bado panga halijapita ila wameshafanya vipimo vya afya na mtihani toka J5 kesho wanaenda kukimbia sasa
Arusha washamaliza mbonaOkey kwa iyo kwenye week mbili zijazo watu wanaweza kuwa Arusha?
Nimemaanisha Arusha kwenye kozi, Au umeelewaje?Arusha washamaliza mbona
Koz inafanyik moshi sio arushaNimemaanisha Arusha kwenye kozi, Au umeelewaje?
Me nataka kujua kuna kipimo cha macho????? Please nisaidienimbio ni raundi tatu tu hazizidi mkuu utazunguka uwanja kwa makundi watakua wanakata wa mwisho kila kundi na hakuna hata atakepigwa doso askari wanajua hamjapimwa afya bado kitakacho tuua ni kukaa huku tumekunja miguu kwa mstari hadi siku usaili unaisha kwa wale wa taaluma mbio hakuna kuna written exam ya fani yako,then oral,then practical kwa fani kama Cyber na ICT then mwisho afya na kusubili majibu kama unafani kusoma muhimu sikutanii
Yes Kipo...mwenye shida ya kuona...si anaweza kufyatulia risasi watu wema akiwachanganya na maadauiMe nataka kujua kuna kipimo cha macho????? Please nisaidieni