Tupeane updates za Ajira za Polisi 2024

Tupeane updates za Ajira za Polisi 2024

2endelee kupambana tu sema haya mambo bila maelekezo ni uongo. Mim nmepga usaili Dom, jina langu halijaitwa sema ni usenge m2 uwanjani unatoa mibio afu kuna akina BIG round 1 wamelala chaliiiii majina yao yapo kene kuendelea 😂😂😂
Pole mkuu….BIG bado yupo sana tu na si ajabu akatimba ccp😂😂😂
huyo Big sisipi ni pi😂🥹
 
6Hahahaha nimecheka kinoma noma maelekezo muhimu kaka
Kabisa nilikuaga nackia tu ila now nmejionea kaka sas kulikuwa na maana gani ya ku2kimbiza kama hata ukikidimua ukawa wa kwanza unakatwa jina afu waliokata moto wanaendelea 😂😂😂
 
mbio ni raundi tatu tu hazizidi mkuu utazunguka uwanja kwa makundi watakua wanakata wa mwisho kila kundi na hakuna hata atakepigwa doso askari wanajua hamjapimwa afya bado kitakacho tuua ni kukaa huku tumekunja miguu kwa mstari hadi siku usaili unaisha kwa wale wa taaluma mbio hakuna kuna written exam ya fani yako,then oral,then practical kwa fani kama Cyber na ICT then mwisho afya na kusubili majibu kama unafani kusoma muhimu sikutanii
Me nataka kujua kuna kipimo cha macho????? Please nisaidieni
 
Back
Top Bottom