Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa lipi mkuu?Doooh najuta
Mkuu ni udhalilishaji huku kambiniKwa lipi mkuu?
Hapana sio kweliMkuu ni udhalilishaji huku kambini
Mkuuu we acha tuuHapana sio kweli
Ahahaha uwakika kaka alhamdulillahWale wa dodoma leo tunakula utawala alaf kesho tunaenda kuonana na mama etu mkuu wa mkoa akatupe baraka zake
Tayali wanasubili PDF litemeWale wa DPA Shughuli imeisha?
Hapo Hadi mwezi wa 9 nafikiriTayali wanasubili PDF liteme
Kwa EMS huchukua siku 3 za kazi, posta ya kawaida hata wikiIvi ukituma barua posta kwa njia ya kawaida inachukua siku ngapi kufika sehemu husika?
EMS working days 2 ie siku ya kupokelewa kesho yake mzigo unafikaKwa EMS huchukua siku 3 za kazi, posta ya kawaida hata wiki
EMS working days 2 ie siku ya kupokelewa kesho yake mzigo unafika
Haswa AminaVijana mtangulizeni Mungu kila kitu kitaenda sawa 🕵️♂️
Mkuu PDF linatoka lini?Binafsi Nitoe Pongezi Kwa Vijana Waliopambana Kwenye Hatua Nzima Ya Usaili...
Nipende Kusema Mjiandae Tayari Kwa Hatua Ya Kuingia TPS (TANZANIA POLICE SCHOOL)...
KABLA YA KWENDA DEPO TUTAJUZANA MENGI ZAIDI
📌Mkuu PDF linatoka lini?