Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unasema alieleta uzi ni maxu…maxu ndo nn mkuu?Nyinyi mnaoutafuta upolisi kwa ugwadu hivi ndio wauwaji na majambazi
alleleta huu uzi ni maxu sana
subr tar 15Kesho au j4 pdf lisipomwagika bac tusubir week ijayo
subr tar 15
Yani mtu kama kazaliwa dsm ...kituo Cha kazi anarudu dsm??? Hii nomaAlaf kuna lonja nimeiskia eti mkimaliza kozi askari mtapangiwa mikoa yenu husika ila kuna baadhi ya askari watabaki pale ccp kama wakufunzi na naskia ukibahatika kubaki pale kama mkufunzi kuna posho ya ukufunzi mwisho wa mwezi ambayo ni 50% ya mshahara wako eti hii ni kweli wakuu?? Mercenary2013 mwanadodoma
Sawa mkuu…apo kwenye medani ndo inakuaje an mkuu?Kubaki CCP yes huwa kuna Askari wapya ambao huwa wanabakizwa CCP kama Wakufunzi,sifa kubwa ni awe amefanya vizuri kwenye Gwaride na Medani nyingine,sina uhakika wa malipo lakini Wakufunzi huwa Wana allowance fulani ambayo huwa wanalipwa kila mwezi
hna kubaki CCP nako uwe na connection maana kuna posho ya ukufunzi ambayo ni 50% ya mshahara wako
Ndugu,jamaa na marafiki.tarajieni tarehe 27 mwezi huu mtareport CCP ,InshaAllahDaah sio poa…ukibaki pale ilo ni zali aisee maana utalala na kula pale pale, mshahara na marupurupu yako ukiyabana vzr mwisho wa mwezi unakua na maokoto ya kutosha ukikaa apo miaka4 basi life ushatoboa 🙌
h
Asante mkuu kwa lonjaNdugu,jamaa na marafiki.tarajieni tarehe 27 mwezi huu mtareport CCP ,InshaAllah
Wakuu hii jungle green ni tamu na yamoto sna🔥……unaona maafande walivyopendeza aisee…..eti wakuu mm nilijua izo kapero wanavaa maofsa tu kumbe hata ambao sio maofsa hua wanavaa (rank and files)?? mwanadodoma Mercenary2013
15/09/2024WAKUU PDF LINI INATOKA WAKUU...
MWENYE LONJA AJE WAKUU KUTIA MORAL
Ujui usemalo kaka, mi naona ccp cio sehem ya kubaki hata wakitaka ubaki, ukifika utanielewaDaah sio poa…ukibaki pale ilo ni zali aisee maana utalala na kula pale pale, mshahara na marupurupu yako ukiyabana vzr mwisho wa mwezi unakua na maokoto ya kutosha ukikaa apo miaka4 basi life ushatoboa 🙌
h
Ndo kwanza leo tarehe 10/09 bado tuna safar15/09/2024