Ndege Tai
JF-Expert Member
- May 6, 2020
- 4,439
- 8,184
Sijasema mwaka huu watatoa ..Unatuambiaje kaka!? Kuaa mwaka huu watatoa kwelii??Mie naona kma ni ngumu au!! Tueleze maan we ushaingia chomboni
Nan kakuhakikishia npo chomboni kaka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijasema mwaka huu watatoa ..Unatuambiaje kaka!? Kuaa mwaka huu watatoa kwelii??Mie naona kma ni ngumu au!! Tueleze maan we ushaingia chomboni
Ukiangalia nilivyoandika ni swali lile nimeuliza sijasema kua ulisema watatoaa!!Sijasema mwaka huu watatoa ..
Nan kakuhakikishia npo chomboni kaka
Aisee mimi nasubiri TFS mwezi wa 5 huu pia, lakini nasikia ni march hukoIvi usaili wa tawa lini miezi mitano imepita sasa mwenye kujua
Duh tupeane update mbn wamekaa sanaAisee mimi nasubiri TFS mwezi wa 5 huu pia, lakini nasikia ni march huko
Jeshi la wananchi au ?Aisee mimi nasubiri TFS mwezi wa 5 huu pia, lakini nasikia ni march huko
TFS ni misitu nduguJeshi la wananchi au ?
Sasa si mbaka waliosomea iyo kozi yamisitu au kozi yeyote wanaingiaTFS ni misitu ndugu
Yoyote ni askari kama askari wengineSasa si mbaka waliosomea iyo kozi yamisitu au kozi yeyote wanaingia
Tpfs ndo basi Tena hakuna Tena?Yoyote ni askari kama askari wengine
Unaandika nn bro TFS ni misitu, TPF ni askari polisi, TPDF ni jeshi la wananchiTpfs ndo basi Tena hakuna Tena?
TpfUnaandika nn bro TFS ni misitu, TPF ni askari polisi, TPDF ni jeshi la wananchi
Tpf ndo basi TenaUnaandika nn bro TFS ni misitu, TPF ni askari polisi, TPDF ni jeshi la wananchi
TPDF ivi mbaka upite Jkt ?Unaandika nn bro TFS ni misitu, TPF ni askari polisi, TPDF ni jeshi la wananchi
Duh ngoja TupambaneNdio
Tuzidishe Dua aiseeNasikia mwez wa 2 kuna nafasi Tpf ila sijajua kama ndo hizo third selection
Kwani second walienda tayari ?Nasikia mwez wa 2 kuna nafasi Tpf ila sijajua kama ndo hizo third selection
kabisa kakaTuzidishe Dua aisee
kwa jinsi ambavyo naona mda umepita tokea wa kwanza waingie mwezi wa 9 i assume second selection tayari..kwan course ua ni miezi mingapi leo ni mwezi wa 5 tokea wanaanze courseKwani second walienda tayari ?