macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Imani ya kijinga kabisa hii ya chuma ulete. Na mtu unayemini kwenye jambo kama hili ukifeli kwenye biashara utalaumu? Hupaswi kulaumu. Inaonyesha kabisa huna abc za biashara.Mpesa na Tigo pesa changamoto ni Chuma ulete tu na MTU atakaye kaa hapo shop amua ukae mwenywe au umuweke mkeo tu
Ukiweka kijana utalia tu
Kuhusu Chuma ulete pesa zako usizichanganye na pesa za Wateja hata cku moja
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna moja imeingia mjini sasa inaitwa LongRich. Naona watu wameichangamkia. Kuna watu wanapiga nazo hatua, nadhani ni malengo tu...Biashara za mtandaoni zimekuwa za pasua kichwa nakumbuka enzi za four corner alliance group, forever living, mara fahari ivestments, mara global alliance,Mara cjui na zingine mnazijua hizi hazijawahi kumuacha mtu salama walikwisha jaribu kufanya kwa miaka ya karibun hapa!!!
Una kuku wangap? Na upo mjini au kijijini?Wanaugumu gani kuku wa kienyeji Mimi nawafuga na mambo yanaenda vizuri
Pole sana mimi kuna. Biashara niliwekeza last year Ilikuwa ya mtaji wa sh. Milioni mbili kasoro, Yan hapa nilipo najuta Kwanini nilifanya hivo, nimebaki na almost zero.Niliwahi fanya kilimo cha nyanya 2 years back asee sitasahu
kipindi naanza bei ya kuuza kwa tenga ilikua 40K nikasema pesa si ndio hii nimeingia kichwa kichwa nikalaza 1.2 shambani heka moja .
Nyanya zimeanza kutoka maji yakawa ya shida kumwagilia zikadumaa zikaishia kukuua vidogo vidogo vinaiva nikakomaa nikamwaga mbolea wakaingia panya wakala kma robo heka nyanya zote zilizokua zimeanza kua nyekundu
Nikapiga dawa huku na kule ugonjwa mwingine asee nilikuaga naishi km kichaa
Mwisho wa siku nilivuna tenga 9 out of 120 na bei ya kuuzia ikashuka hadi elfu 8 na kwakua nyanya zangu zilitoka ndogo ndogo sana na nyingi zina maginjwa nikauza tenga kwa elfu tano Kati ya 1.2M , muda na nguvu nilizotumia niliambulia elfu 45 tu 🥶
Sent from my iPhone using JamiiForums
anapga route gan?Mkuu imekuaje hadi imekushinda? Mie kila siku analeta 25,000/= isipokua siku moja tu kwa wiki ambayo nimempa apumzike.
Duh maji moto ni mbali sana mkuu, nilishawahi fika hadi hapo kwenye hiyo Chem chem inayotoa maji ya moto, labda huo mchele uuzie mikoa ya karibu na sio kuleta Dar maana ni hasaraDaaaa!! Kamsamba, umenikumbusha mbali sana, mwaka jana nilikuwa huko, ila daa kutoka hapo mlowo kuitafuta Kamsamba ni shughuri pevu, hizo km 132!! Sio mchezo na kuna poli zito kuna sehemu inaitwa) BOT), kuna kona kali majambazi ndio huwasubilia wafanyabishara na kuwapola pesa!
kiukweli kule kuna mchele mzuri ila kuna sehemu inaitwa MAJIMOTO, ipo mkoa wa katavi(mlele) kule ndio balaa, ni sindano mchele wa kule, na unaweza tokea hapo hapo Kamsamba hadi kule. Nilikuwa kwenye utafiti wa biashara hiyo hiyo ya mchele.
Ontario Ni tapeliWafundishe forex mkuu ..waache kulia lia..[emoji23][emoji23][emoji23]
Waambie Ontario anakunja Kila day $8000+ uko..
Sent using Jamii Forums mobile app
Walioingia kingi wengi ni watu wa Dar huko,
Aibu nimeona Mimi, unaelewa maana ya biasharaDaud1990,
Ndugu unachanganya madawa. Biashara na kamari ni vitu viwili tofauti. Kwa kuwa kwenye biashara kuna kufeli basi hilo halifanyi iwe kama kamari!
Forex Kama ilivyo biashara zingine Kuna matapeli ndani Yake... Hata biashara ya madini ukiingia kichwa kichwa unakutana na matapeli wanakuuzia chupa ukidhani ni dhahabu...Walioingia kingi wengi ni watu wa Dar huko,
Shida watu wanapenda slope miaka hii
Pole sana mimi kuna. Biashara niliwekeza last year Ilikuwa ya mtaji wa sh. Milioni mbili kasoro, Yan hapa nilipo najuta Kwanini nilifanya hivo, nimebaki na almost zero.
Roho inaniuma sana
Duh!wacha ikuume, ndio ukome wizi!!
Inategemea, na hali ya soko, mbona watu wengi sana, wanaufuata huko, kwani kama mchele unatoka mpanda, na ki gharama za usafiri ni sawa tu!! Ki ukweli kule bei huwa sio juu sana, kutokana na ushindani kuwa mdogo wa wateja, mfano kilo moja hadi dar ni kama shilingi 100(usafiri)Duh maji moto ni mbali sana mkuu, nilishawahi fika hadi hapo kwenye hiyo Chem chem inayotoa maji ya moto, labda huo mchele uuzie mikoa ya karibu na sio kuleta Dar maana ni hasara