Daaaa!! Kamsamba, umenikumbusha mbali sana, mwaka jana nilikuwa huko, ila daa kutoka hapo mlowo kuitafuta Kamsamba ni shughuri pevu, hizo km 132!! Sio mchezo na kuna poli zito kuna sehemu inaitwa) BOT), kuna kona kali majambazi ndio huwasubilia wafanyabishara na kuwapola pesa!
kiukweli kule kuna mchele mzuri ila kuna sehemu inaitwa MAJIMOTO, ipo mkoa wa katavi(mlele) kule ndio balaa, ni sindano mchele wa kule, na unaweza tokea hapo hapo Kamsamba hadi kule. Nilikuwa kwenye utafiti wa biashara hiyo hiyo ya mchele.