Ni cha kisasa mkuu lakini gharama zake ni kubwa mno kiasi kwamba ukija kukaa chini ukipiga hesabu na muda wako uliopoteza unakuta hujaingiza kitu na wakulima wengi huwa hawapigi hizo hesabu wanaangalia kavunaje basi,labda shamba liwe lako ndio utaona faida lisiwe na kukodi kabisaLima kilimo cha kisasa mkuu