Tupeane Uzoefu: Biashara gani ilikushinda?

Lima kilimo cha kisasa mkuu
Ni cha kisasa mkuu lakini gharama zake ni kubwa mno kiasi kwamba ukija kukaa chini ukipiga hesabu na muda wako uliopoteza unakuta hujaingiza kitu na wakulima wengi huwa hawapigi hizo hesabu wanaangalia kavunaje basi,labda shamba liwe lako ndio utaona faida lisiwe na kukodi kabisa
 
kuna sehemu ulikosea mkuu
 
Bishara ya kuza dawa za chooni aiseee nilikutana na changamoto Sana ila hili la mteja mmoja kunikabidhi dekio chafu ni lisugue kwa dawa likitakata ndo anunue sikulivumilia na kupiga chini hiyo biashara
duuh kuna watu jeuri[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 

Nina shida na ule mchele ulionyooka kama wa Kamsamba
Naweza kupata?
 
Breaking News[emoji23][emoji23][emoji23]
 
vinyago nilikuwa napeleka marekani,hasara tupu serikali wanachukua kodi mpaka mtaji unaisha,nikaamua niingie kwenye ngada saizi mimi ni multi billionaire


Once a baharia always a baharia
afu huyu jamaa hatanii maana hata jina lake tu "PABLO" kwa wanaomjua jamaa alikuaga mbrazili/coliumbia kama sijakosea ndo alikuwa nguli wa kupush ngada
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…