Tupeane Uzoefu: Biashara gani ilikushinda?

Tupeane Uzoefu: Biashara gani ilikushinda?

Forex
Baada ya kuvutiwa na uzi wa kwanza kabisa. Mzee nikapakua vitabu msuli ile ile mixer YouTube. Nikaanza kupiga practical ya live cent ya 1$ kwa 100$
Hahahah nusu mwaka no development leo nikipata profit ya 5$ kesho nachoma 20$
***** nikapiga chini na nishaisahau
We kenge 10 kwa hiyo humo sio mwa kuingia?. Sio kwamba uliingia kwa speed?. Ulianza vibaya?
 
Kama mimi nimepoteza muda sana kwenye mpunga mpaka sioni pakwenda mtaji wote umekata sijui hata nianzie wapi ila kilimo ni zaidi ya noma labda kilimo cha matunda/miti kinaweza kua ahueni.
Mpunga kuna mwana alipoteza 2M alafu maji hayakutosha aisee hakulamba hata mchele robo[emoji24][emoji24][emoji24]
 
Back
Top Bottom