Tupeane Uzoefu: Biashara gani ilikushinda?

Tupeane Uzoefu: Biashara gani ilikushinda?

Sasa hivi nyanya ni dhahabu, kila kitu ni timming
Hahaha kuna cousin wangu aliwekeza kwenye kilimo cha nyanya,alikopa km laki 7 na 80
Ilikuwa wakivuna tenga litauzwa kwa 4,500.

Daah kutahamaki wkt wa mavuno biashara ikuwa hovyo,nyanya kila mahara tenga mia 7
Alijuta na pesa ilikuwa ya mkopo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Biashara yoyote inahitaji usimamizi wa 100% ukiwa hapo hapo.

Nakumbuka nilikuwa na Pub mkoa flani ilinifilisi ili niimaintain iendelee kuwepo.Vibaa med nilivitoa straight from unyaturuni.Lazima niwalambe kwanza.Vitoto "Onion a**" havikatai kwa mi boss wao.Wife aliipiga vita nilivyohamishwa kikazi akafurahi na ikafa.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mzee umenihudhunisha na kunichekesha wakati huo huo.!


Happy dude [emoji67]‍[emoji538]
 
Na changamoto kubwa katika kilimo ni usimamizi mzuri. Unakuta mtu yuko Dar ila anajiita mkulima kwa kuwa na shamba la mpunga huko Kyela. Kila siku unapigiwa simu mara mbolea inahitajika, mara dawa unatuma hela, mtu anaenda kupiga picha shamba la jirani kisha anakutumia. Basi unajua mavuno yatakuwa ni mazuri. Ukifika msimu wa mavuno jiandae kupokea Breaking News.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]


Happy dude [emoji67]‍[emoji538]
 
Niliwekeza hela nyingi kwenye bando nikakuza account instagram aaah nilipiga hela za matangazo kama kichaa yani kwa mwezi laki mbili kitu kidogo sana nikajikusanya nikanunua cm ya maana mfukoni nikabaki cna kitu hacker akafanya yake mbaka leo roho inauma sanaa🤦🏽‍♂️🤦🏽‍♂️

Lkn nimeanza na account mpya mambo co mabaya nasogea


Sent using Jamii Forums mobile app
Nipe mbinu basi ya kupata matangazo.nina acount ipo vizuri ila sijajua jinsi ya kupata matangazo.
 
Imani ya kijinga kabisa hii ya chuma ulete. Na mtu unayemini kwenye jambo kama hili ukifeli kwenye biashara utalaumu? Hupaswi kulaumu. Inaonyesha kabisa huna abc za biashara.

Asante sana mkuu kulisemea hili..mm nikifeli huwa simlaumu mtu..kaa chini jitafari wapi ulifanya kosa.be honest yourself...! Usipeleke lawama.za machuma ulete...mie siamini..!
kuna kaka ana duka kubwa sana la nguo..siki hyo tuko naye kkoo anahesabu kila laki haipo 10000! Akapanic..akasema chuma ulete...mm nikampa ukweli...nikamwqmbia simjui mkeo hanijui..anayekupga hizo pesa ni mkeo...naongea kutokana na mm ni ke! Alibisha balaa nikamwambia usimwambie mkeo..mtegeshee hela km hatadokoa...ananiulizaga had leo ww maathai ulijuaje? Nikamwambia i knw..mbaya wako alwys huw yuko karibu sana na ww! Hakuna chuma ulete wala nm!ukiweka imani za ushirikina kwa biashara jua utasindikiza wenzako tu...huna hesabu za biashara jua kufel nje nje
 
Asante sana mkuu kulisemea hili..mm nikifeli huwa simlaumu mtu..kaa chini jitafari wapi ulifanya kosa.be honest yourself...! Usipeleke lawama.za machuma ulete...mie siamini..!
kuna kaka ana duka kubwa sana la nguo..siki hyo tuko naye kkoo anahesabu kila laki haipo 10000! Akapanic..akasema chuma ulete...mm nikampa ukweli...nikamwqmbia simjui mkeo hanijui..anayekupga hizo pesa ni mkeo...naongea kutokana na mm ni ke! Alibisha balaa nikamwambia usimwambie mkeo..mtegeshee hela km hatadokoa...ananiulizaga had leo ww maathai ulijuaje? Nikamwambia i knw..mbaya wako alwys huw yuko karibu sana na ww! Hakuna chuma ulete wala nm!ukiweka imani za ushirikina kwa biashara jua utasindikiza wenzako tu...huna hesabu za biashara jua kufel nje nje
ila hii ni kweli 100%

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niliwahi fanya kilimo cha nyanya 2 years back asee sitasahu

kipindi naanza bei ya kuuza kwa tenga ilikua 40K nikasema pesa si ndio hii nimeingia kichwa kichwa nikalaza 1.2 shambani heka moja .

Nyanya zimeanza kutoka maji yakawa ya shida kumwagilia zikadumaa zikaishia kukuua vidogo vidogo vinaiva nikakomaa nikamwaga mbolea wakaingia panya wakala kma robo heka nyanya zote zilizokua zimeanza kua nyekundu

Nikapiga dawa huku na kule ugonjwa mwingine asee nilikuaga naishi km kichaa

Mwisho wa siku nilivuna tenga 9 out of 120 na bei ya kuuzia ikashuka hadi elfu 8 na kwakua nyanya zangu zilitoka ndogo ndogo sana na nyingi zina maginjwa nikauza tenga kwa elfu tano Kati ya 1.2M , muda na nguvu nilizotumia niliambulia elfu 45 tu 🥶


Sent from my iPhone using JamiiForums
ahhahhahahaah
 
Daaaa!! Kamsamba, umenikumbusha mbali sana, mwaka jana nilikuwa huko, ila daa kutoka hapo mlowo kuitafuta Kamsamba ni shughuri pevu, hizo km 132!! Sio mchezo na kuna poli zito kuna sehemu inaitwa) BOT), kuna kona kali majambazi ndio huwasubilia wafanyabishara na kuwapola pesa!

kiukweli kule kuna mchele mzuri ila kuna sehemu inaitwa MAJIMOTO, ipo mkoa wa katavi(mlele) kule ndio balaa, ni sindano mchele wa kule, na unaweza tokea hapo hapo Kamsamba hadi kule. Nilikuwa kwenye utafiti wa biashara hiyo hiyo ya mchele.

Huko Majimoto biashara inaanza lini kuwa poa
 
Back
Top Bottom