Tupeane uzoefu wale walioanzia chini na kutoka kimaisha

Tupeane uzoefu wale walioanzia chini na kutoka kimaisha

Mapensho star

JF-Expert Member
Joined
Jun 30, 2016
Posts
3,052
Reaction score
4,104
Miaka ya nyuma kidogo tulikuwa tunasikia shuhuda za watu waliofanikiwa kimaisha kuna matajiri walianza kufanya biashara za ajabu ukimuona sasa huwezi kuamin

Wapo walioanza biashara kuuza karanga kutembeza mitaani hadi kuja kumiliki magorofa

Wapo walikuwa machinga mitaani wanatembeza ungo na sufuria leo hii ukiwaona sio wao tena

Yupo jamaa mmoja alianza na mtaji wa elfu 10 kuuza sigara kwa sasa ni tajiri wa kutisha

Hizi ni shuhuda chache tulizokuwa tunazisikia kutoka kwa watu waliofanikiwa

Tuongelee maisha ya sasa imekuwa vipi muuza karanga amebaki kuuza karanga chinga amebaki kuwa chinga miaka yote mifumo ya kupata hela imebanwa na serikali au kuna namna wenzetu walituzidi maarifa
 
Kufanikiwa kuna mambo mengi mkuu miaka ya nyuma mfano marajiri wengi sana wa ruvuma na lindi na mtwara wamechomokea kwenye business za pembe na madawa ila hawatakwambia..au kuna urithi pia mazali..wapo watu wanaijua thamani yao wanaitumia kupata mitaji na kuaminika kwa matajiri..ila sio karanga ikufanye uje kujenga ghorofa
 
Discipline & Attitude

Discipline is the bridge between goals & accomplishment
Attitude is a little thing that makes a big difference.
 
Wapo wengi tu sina haja ya kuwataja kwa majina
Wengi ilikua michongo ya madini Yale ya mererani wanatoroshea kwenda Kenya, madawa ya kulevya, biashara ya mazao na wengine walitumika kutakatisha fedha zilizopigwa huko serikalini ndo maana waliokua na majina makubwa walikua attached sana na siasa na waliiipiga sana tafu chama kilee.
 
Huwezi kuwa tajiri kwa mtaji wa elf 10 kuuza sigara, ipo sababu nyingine ya utajiri wake
 
Wengi ilikua michongo ya madini Yale ya mererani wanatoroshea kwenda Kenya, madawa ya kulevya, biashara ya mazao na wengine walitumika kutakatisha fedha zilizopigwa huko serikalini ndo maana waliokua na majina makubwa walikua attached sana na siasa na waliiipiga sana tafu chama kilee.
Hao wapo na majambazi wapo pia, hasa wizi wa magari kuna kipindi ulishamiri sana.
 
CHANZO CHA MAFANIKIO ATAEKUAMBIA UKWELI NI MZAZI WAKO TU AU MTU WAKO WA KARIBU,,,,,HAWA WENGINE WOTE HAWAWEZI KUKUAMBIA UKWELI
 
Hakuna mtu atakwambia pesa yake anatoa wap,utajiri hauji kwa ten
 
Attitude is a little thing that makes a big difference.
Miaka ya nyuma kidogo tulikuwa tunasikia shuhuda za watu waliofanikiwa kimaisha kuna matajiri walianza kufanya biashara za ajabu ukimuona sasa huwezi kuamin

Wapo walioanza biashara kuuza karanga kutembeza mitaani hadi kuja kumiliki magorofa

Wapo walikuwa machinga mitaani wanatembeza ungo na sufuria leo hii ukiwaona sio wao tena

Yupo jamaa mmoja alianza na mtaji wa elfu 10 kuuza sigara kwa sasa ni tajiri wa kutisha

Hizi ni shuhuda chache tulizokuwa tunazisikia kutoka kwa watu waliofanikiwa

Tuongelee maisha ya sasa imekuwa vipi muuza karanga amebaki kuuza karanga chinga amebaki kuwa chinga miaka yote mifumo ya kupata hela imebanwa na serikali au kuna namna wenzetu walituzidi maarifa
Audio | YOUR ATTITUDE IS EVERYTHING
 
Hao wapo na majambazi wapo pia, hasa wizi wa magari kuna kipindi ulishamiri sana.
Waliofanya sana ujambazi ni wakenya walikua wanapiga matukio Moshi, mwanga, Arusha na Kwa kiasi kidogo babati refer Ile tukio la bank

Huwezi Sema matajir waliokuepo kama kina Msuya, Mengi, Mbowe, Ndesamburo, Lowasa, Laizer na wengn wenye majina makubwa wadeal na kuiba gar ya $20000
 
Waliofanya sana ujambazi ni wakenya walikua wanapiga matukio Moshi, mwanga, Arusha na Kwa kiasi kidogo babati refer Ile tukio la bank

Huwezi Sema matajir waliokuepo kama kina Msuya, Mengi, Mbowe, Ndesamburo, Lowasa, Laizer na wengn wenye majina makubwa wadeal na kuiba gar ya $20000
Achana na hao wanaharakati mkuu,wapo matajiri wanafahamika wengi zilikua dili za usiku.
 
Kuna tajiri mmoja mkubwa alikuwa ananiambia alianza kwa kulima akapata gunia moja la mahindi, akawa ananunua na kuuza mahindi mnadani kwa kuanzia mtaji wa gunia moja. Leo anascania za kufa mtu na biashara kubwa nyingi.

Alinihamasisha sana, ila nilipomgugo kimyakimya nikagundua kuna dili la madini kimyakimya aliwahi kupiga hilo ndio limemuweka hapo alipo sio zile stori zake.

Nimegundua wengine wanafanya tuvitu twa ajabuajabu huku kuna mishe nyingine wametegesha ambazo zikitiki anapaa. Hizo huwa hawasemi, maana ukisemasema mambo yako kwa watu wanayablock.



Ni kweli inawezekana, lakini inabidi ukomae na uwe mkaksi sana.
 
Back
Top Bottom