Tupeane uzoefu wale walioanzia chini na kutoka kimaisha

Tupeane uzoefu wale walioanzia chini na kutoka kimaisha

Utajiri n mchakato,wenye Siri nyingi sana

Mtu alyetoboa ukimuulza atakupa details nyepesi nyepesi sana ambazo hata ww unazijua
 
Ukitaka kuwa tajiri lazima ukubali kuvunja mifumo uliyoizoea.

Kuna Tajiri namjua yeye alikuwa mwajiriwa enzi za Rais Magufuli.

Enzi zile za vyeti feki jamaa akasanuka avuta bonge Moja la Mkopo akasepa.

Saivi anamiliki ma hardware na biashara kedekede.

Lazima u take risk, uvunje mifumo.

Upige Dili
Uibe
Ukimbie na kibunda.
Uende kwa Babu.
Ule Hela za wajinga.

Yaani mambo meusi meusi.

Hata wanasiasa wanavunja sana mifumo.

Sio watu wa kufuata mifumo.
 
Ukitaka kuwa tajiri lazima ukubali kuvunja mifumo uliyoizoea.

Kuna Tajiri namjua yeye alikuwa mwajiriwa enzi za Rais Magufuli.

Enzi zile za vyeti feki jamaa akasanuka avuta bonge Moja la Mkopo akasepa.

Saivi anamiliki ma hardware na biashara kedekede.

Lazima u take risk, uvunje mifumo.

Upige Dili
Uibe
Ukimbie na kibunda.
Uende kwa Babu.
Ule Hela za wajinga.

Yaani mambo meusi meusi.

Hata wanasiasa wanavunja sana mifumo.

Sio watu wa kufuata mifumo.

Kwa hyo mkuu njia ya utajir sio mstaar mnyoofu?[emoji28]

Iv kwann hatuamin kuwa Mungu anaweza kumpa mtu utajiri wa haki?kama Ibrahim/ayubu/suleiman

Napo,njia ya Mungu n ngumu lkn inafikika

Lengo kubwa iwe uhuru wa kifedha,utajiri huko n mbali zaid pengne Mungu/miungi ikupe tu kama bonasi
 
Kwa hyo mkuu njia ya utajir sio mstaar mnyoofu?[emoji28]

Iv kwann hatuamin kuwa Mungu anaweza kumpa mtu utajiri wa haki?kama Ibrahim/ayubu/suleiman

Napo,njia ya Mungu n ngumu lkn inafikika

Lengo kubwa iwe uhuru wa kifedha,utajiri huko n mbali zaid pengne Mungu/miungi ikupe tu kama bonasi
Utajiri hauna MSTARI mnyoofu.

MISTARI MINYOOFU ni kwaajili ya MASIKINI
 
Back
Top Bottom