Tupendane Tena!! Tuwe na Umoja Tena....


Kabisa wii sikutaka kutia neno kule maana najijua, lazima ban ingenihusu hahahaaa sitakagi masihara mie lol!

Ila sasa yameisha wii wangu kiroho kwatuu na upendo uleule kama zamani!!!!!
 
my dear, hata mi kuna watu nili wa mind ila baadae nikapotezea, naomba usichukulie hasira kiivyo tuwasamehe bure!!!!!!!

ule urafiki wetu umerudi sasa..
happy happy again!!
 
Kabisa wii sikutaka kutia neno kule maana najijua, lazima ban ingenihusu hahahaaa sitakagi masihara mie lol!

Ila sasa yameisha wii wangu kiroho kwatuu na upendo uleule kama zamani!!!!!

upendo wa sasa na uzidi ule wa zamani!! much love!!
 
Kabisa wii sikutaka kutia neno kule maana najijua, lazima ban ingenihusu hahahaaa sitakagi masihara mie lol!

Ila sasa yameisha wii wangu kiroho kwatuu na upendo uleule kama zamani!!!!!
​ndo maana nakupenda mdada yangu
 

Asante sana.
Nimepokea busu lako shemeji yangu.
Nimemsamehe.
 
Asante sana.
Nimepokea busu lako shemeji yangu.
Nimemsamehe.

safi sana...
we wa ukweli sana!!
unaikumbuka kusini lakini? au ulivyomaliza ndiyo ulikata maguu kabisa huku?
karibu tena
 
Hee!
Sasa Shem , hiyo sasa si itakua mibifu ya Kinyaru? Yaani lile debe nilokupigia ukaenda Kigali semina , gharimu yake ndo hii ?

Usijali shemeji.
Sina beef na mtu mimi.
Nakupenda Shem.
 
safi sana...
we wa ukweli sana!!
unaikumbuka kusini lakini? au ulivyomaliza ndiyo ulikata maguu kabisa huku?
karibu tena

Hahaha.....
Kusini nitakuja tu.
Nimepamiss Bandari Club.
Au pale TTC ile Bar ya pembeni opposite na Indian Quarter.
 
Hahaha.....
Kusini nitakuja tu.
Nimepamiss Bandari Club.
Au pale TTC ile Bar ya pembeni opposite na Indian Quarter.

Na siku izi pameboreshwa zaidi...
karibu tena!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…