Tupendane Tena!! Tuwe na Umoja Tena....

Tupendane Tena!! Tuwe na Umoja Tena....

mi najua wii haya mambo hamna kusema ni CC wala nini huwa kunakuwa na emotion involved
mie huwa nashangaa mtu anasema inakuwaje mtu anachukia mambo ya nyuma ya keyboard.......
as humans kuna vitu lazima vikukwaze na mie nilijua tu pale na sikukuona kuchangia mle hata

ila yameisha tugange yajayo WII

Kabisa wii sikutaka kutia neno kule maana najijua, lazima ban ingenihusu hahahaaa sitakagi masihara mie lol!

Ila sasa yameisha wii wangu kiroho kwatuu na upendo uleule kama zamani!!!!!
 
Kabisa wii sikutaka kutia neno kule maana najijua, lazima ban ingenihusu hahahaaa sitakagi masihara mie lol!

Ila sasa yameisha wii wangu kiroho kwatuu na upendo uleule kama zamani!!!!!

upendo wa sasa na uzidi ule wa zamani!! much love!!
 
Kabisa wii sikutaka kutia neno kule maana najijua, lazima ban ingenihusu hahahaaa sitakagi masihara mie lol!

Ila sasa yameisha wii wangu kiroho kwatuu na upendo uleule kama zamani!!!!!
​ndo maana nakupenda mdada yangu
 
rudisha moyo shemeji mungu anataka tusameheane sio siri upande wao ulikuwa na watu wenye chuki na dhalii lakini uchaguzi umeisha tusameheane shemeji mie uchungu na hasira yangu yote nimeuyeyusha kwa barafu akhaaa kiroho safi rudisha moyo shemeji yangu mpenzi ,,,,,mwaaaaah,,,,pokea kisss langu,,,,hug,,,,na hivi na vile

Asante sana.
Nimepokea busu lako shemeji yangu.
Nimemsamehe.
 
Asante sana.
Nimepokea busu lako shemeji yangu.
Nimemsamehe.

safi sana...
we wa ukweli sana!!
unaikumbuka kusini lakini? au ulivyomaliza ndiyo ulikata maguu kabisa huku?
karibu tena
 
Hee!
Sasa Shem , hiyo sasa si itakua mibifu ya Kinyaru? Yaani lile debe nilokupigia ukaenda Kigali semina , gharimu yake ndo hii ?

Usijali shemeji.
Sina beef na mtu mimi.
Nakupenda Shem.
 
safi sana...
we wa ukweli sana!!
unaikumbuka kusini lakini? au ulivyomaliza ndiyo ulikata maguu kabisa huku?
karibu tena

Hahaha.....
Kusini nitakuja tu.
Nimepamiss Bandari Club.
Au pale TTC ile Bar ya pembeni opposite na Indian Quarter.
 
Back
Top Bottom