Tupendane Tena!! Tuwe na Umoja Tena....

Tupendane Tena!! Tuwe na Umoja Tena....

ndo mfalme wa ryhmes aliyopo tanzania. Baada ya yeye kushinda hilo shingano halijarudiwa tena. lilipigwa marufuku na wasanii kuapa kutoshiriki tena. Watu walitaka prif J ndo ashinde lakini siku ya fainali afande aliimba vizuri bila kukosea ukilinganisha na akina prof. j inspector nk. ndo maana afande sele anajiita mfalme sele. mia

hahahaaa.... Inawezekana nikawa kama Afande nini, lol!
 
Last edited by a moderator:
amu kampeni ilikuwa ngumu sijapata kuona,
you cant imagine unakaa macho hadi saa saba usiku
unafanya hiyo kitu, looooh. Yataka moyo sana.

We acha tu.... laiti wangejua mie hadi wezi waliiba lindoni kwangu wakati niko busy na kampeni...... Ilibaki kidogo kiote nyasi, sema nilimtishia Mhindi kuwa akini fire tu namroga ndo akaniacha...
 
Last edited by a moderator:
We acha tu.... laiti wangejua mie hadi wezi waliiba lindoni kwangu wakati niko busy na kampeni...... Ilibaki kidogo kiote nyasi, sema nilimtishia Mhindi kuwa akini fire tu namroga ndo akaniacha...

hahahaaa........! Baba V game ilikuwa ngumu mbaya wengine ukiwaomba kura ndo wanapata mwanya wa kukutongozea hapohapo lol!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom