Mbao za Mawe
JF-Expert Member
- May 11, 2015
- 23,372
- 54,943
Si unamzungumzia Huyo jamaa yako kwanini usiweke Mafanikio yake hapa tumlinganishe na hao uliwataja, nachojua wachezaji wote wazuri wapo ligi nzuri na timu zenye hadhi sio hapa nchini.Kiongozi kwani timu ya taifa anacheza Ajibu mwenyewe?
Unajua Rooney,Lampard,Jerald,Scholes mpaka wanazeeka hawajafanya chochote na Uingereza
Unajua Messi hana Kombe lolote na Argentina
Unajua Giggs hata wales haijawahi kufuzu kombe la dunia enzi zake