Tupende vya kwetu AJIBU ni mchezaji Aliyekamilika

Tupende vya kwetu AJIBU ni mchezaji Aliyekamilika

Hauwi bora kwa kuukataa ubora wa wengine mama yangu. Maneno machafu ni dalili tu ya kupungukiwa ufahamu
Ubora wa wengine haupimwi kwa kila mtu ndiyo maana kuna + na - sio kila pimbi mwenye akili kama zako atataka kuona kila mtu anapenda unachopenda.
 
Huyu Ajib ni Samatta mwingine, angepata nafasi ya kucheza ligi nje ya Tz angeweza kufika mbali na kupata mafanikio makubwa.!
Kwani amezuiwa? Amewahi kufanya majaribio Golden Arrows ya Afrika Kusini (2016) na Harras El Hodood ya Misri (2017), na bahati haikuwa yake, hakufuzu. Kwa sasa aonyeshe makeke yake haha hapa Bongo ili ajiimarishe akiitwa tena kwenye majaribio, aweze kufuzu
 
Ubora wa wengine haupimwi kwa kila mtu ndiyo maana kuna + na - sio kila pimbi mwenye akili kama zako atataka kuona kila mtu anapenda unachopenda.
Hapa hatuzungumzii KUPENDA mamaangu, tunazungumzia ubora wa mtu. Mimi binafsi simpendi Christian Ronaldo, simpendi kweli kweli...lakini ukiniuliza kama Ronaldo ni bora nitakwambia NDIO bila kusita.

Kinachokusumbua mamaangu ni WIVU WA KIKE na roho ya HUSDA kiasi hadi unaporomosha maneno machafu kisa tu mdau kasema Ajib ni bora. Haji Manara kamkubali kijana na kamuaga, wewe ndezi wa pori la msakuzi upo hapa unatukana watu na jaaaazba kama mwanaume aliyepapaswa sitting organs zake...jiheshimu mama!







 
Unapokuwa na mahaba ya kugaragazwa utajikuta kuna siku utalambwa bila idhini yako, Ajibu Anacheza Mpira upi huo? Media kukenua kenua kwake ndiyo unaona ni Bonge la Mchezaji!!

Siwezi kubishana na wagonjwa wa ubongo na hasa ubongo wenye ukurutu kama wako, Ukimwona ni bora kwako usilazimishe kila mtu amhusudu huyo bwana yako ndiyo maana licha ya Messi kutwaa tuzo 5 za Ballon'dor kuna watu hata hawana mapenzi nae kila mtu ana jicho lake usitake jicho lako liwe la kila mtu, Ushabiki wa Kipumbavu kama wako wa kutaka kile unachoamini kila mmoja akipende ni ushoga wa ufahamu.

Osha kichwa chako huwenda una wigi linakufanya akili yako ilale.
Zezeta kama wewe ni wa kuhurumia hasa waliokuzaa, unaweza kuta wazazi wako wanakonda kwa kuwa na jini kama wewe ila wewe hujui kwanini wazazi wako wanakonda. Nani kakulazimisha umuone Ajib ni mchezaji mzuri? Hivi huyo Mesi unayemzungumzia kuna mtu kasema yeye sio mchezaji mzuri au hujui maana ya kukubaliana na uhalisia wa kitu? Ubora wa mchezaji hauhitaji mtu binafs kumkubali, kwani kuna watu wanaikubali Tanzania kuliko hata Marekani ila mapenzi yao hayasababishi Marekani kutokuwa bora dhidi ya Tanzania.
Unapokuwa na kansa ya ubongo madhara yake ndio hayo hujui hata ulichoulizwa.
Siku nyingine maneno kama hayo uwe unawahadithia wazazi wako.
Kama wewe sio shoga unajua wapi kuhusu mambo hayo kama hawakufanyi.
 
Ukiwaondoa ALLY KIBA na DIAMOND PLATNUM mtu mwingine aliyebaki kuwa mburudishaji ni IBRAHIM AJIBU nukuu toka kwa HAJI MANARA

Hata Mimi nimelishuhudia hilo.
 
Ukiwaondoa ALLY KIBA na DIAMOND PLATNUM mtu mwingine aliyebaki kuwa mburudishaji ni IBRAHIM AJIBU nukuu toka kwa HAJI MANARA

Hata Mimi nimelishuhudia hilo.
Asante kwa nyama zaidi.

Ila habari nyingi leo ni kuhusu mtangazaji wa jana wa huu mpira

Watu wamekuja juu kama vile walimpamba sana

Tusubiri lolote laweza tokea kwa yule mtangazaji kama sio barua ya Onyo
 
Mimi team Mnyama ila huyu kijana anaujua mpira.

Mategemeo yangu haikuwa Ajib kutoka Simba kwenda Yanga. Nilitegemea huyu kijana angeenda mbele huko kula mpunga wa wazungu.

Ila huyu kijana nasikia huwa kwasababu anajijua ana kipaji muda mwingine huwa anatega kwenda mazoezini.


Nawaomba wana Jangwani mumsisitize aelewe maana ya pro na amateur. Messi mazoezi kila siku hivyo Ajib please. Tunakuomba uache kibri uchwara..

Hudhuria mazoezi na act like a pro na sio amateur mcheza ndondo
 
Kwa kukataa kukaa mezani na Ajibu benchi zima la ufundi, uongozi mzima wa simba plus washabiki wote ni vilaza wa kutupwa, tena nyabafu zenu kabisa,
 
Ajibu bora ni yule aliyekua Simba SC ambao ni mabingwa watarajiwa wa VPL, FA Cup, Kombe la Mapinduzi na Finalists wa CAF Confideration Cup katika msimu wa 2017/2018.. Huyu Ajibu wa Ndala ni "loo betri".. kuthibitisha hilo, TUKUTANE 28/10.
Mbona mlikuwa mnamuweka benchi?
Mambo ya sizitaki mbichichi zile
 
Asante kwa nyama zaidi.

Ila habari nyingi leo ni kuhusu mtangazaji wa jana wa huu mpira

Watu wamekuja juu kama vile walimpamba sana

Tusubiri lolote laweza tokea kwa yule mtangazaji kama sio barua ya Onyo
Yule mtangazaji alipagawa kiasi amestukia akitumia maneno wanayotumia watangazaji wa LALIGA kumpamba Messi.
Si kosa lake ni udambwi wa vijana huyu wa kitanzania kwenye vpl.
Na hakika kama ni onyo basi watangazaji wengi wajiandae kupewa onyo.

Hitimisho 28th October 2017 labda visa, vurugu , lkn kama ni soka tutaona kivuli cha Neymar,Cr7,Messi, na wengine kupitia AJIBU
 
Acha mihemko ya kike kucheza kwangu na mpira na huyo bwana yako kunakuhusu nini? Kama angekuwa hatari mnavyodhani leo hii Timu yake ya Taifa ingekuwa inavurunda?


Aibebe timu yake ya taifa mabegani basi kama wenzake, sio kila mtu atakuwa na mahaba ya kufa kama wewe Ajib sioni uchezaji wake ni kwa vile Anafunga ndiyo maana mnaona ni Bonge la Mchezaji hana lolote.
Mkuu mbona unatokwa bovu kama umekula omo?
 
Back
Top Bottom