MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Wakuu nimeona kutokana na malalamiko ya wateja kutamkiwa kauli mbovu na watoa huduma kwenye sekta mbalimbali ni vema tukataja majina ya wahusika ili tuwaandalie ligi yao maalum. Wadhamini watapatikana.
Makonda wa daladala wao wanaingia fainali moja kwa moja kutokana na kiwango chao kuwa juu kama Simba SC. Kwa kuanzia ninawataja wafuatao na nyie mtaendelea;
1. Manesi
2..............
3..............
Wanajionaga kama tayari wana PhD yaani wakiwa na makalio makubwaWanawake wenye makalio kwenye maduka, bar..
Kweli wewe hujui historia ya ulipotokea. Yaani from conception to hapa unavyokomenti. TafakariWanajionaka kama tayari wana PhD yaani wakiwa na makalio makubwa
π πKweli wewe hujui historia ya ulipotokea. Yaani from conception to hapa unavyokomenti. Tafakari
Jibu lako lipo between the lines above. βοΈ ππ π
Mkuu ni kweli huenda sijui ila naomba uniambie inahusiana nini na wanawake wenye maumbile makubwa (makalio) kujiona Bora kuliko wengine
Umekosea, ulipaswa utuambie tutaje na hizo kauli zao mbovu, tukianza na makondakta wa daladalaWakuu nimeona kutokana na malalamiko ya wateja kutamkiwa kauli mbovu na watoa huduma kwenye sekta mbalimbali ni vema tukataja majina ya wahusika ili tuwaandalie ligi yao maalum. Wadhamini watapatikana.
Makonda wa daladala wao wanaingia fainali moja kwa moja kutokana na kiwango chao kuwa juu kama Simba SC. Kwa kuanzia ninawataja wafuatao na nyie mtaendelea;
1. Manesi
2..............
3..............