Umesahau swala la moto pia linaweza tokea hapo. Biashara ngumu sana.Mosi; kuna changamoto ktk uwekezaji huu, usiweke hela kwenye miti kama cash flow yako ni ya mawazo sbb unaweza kuambulia majivu. Sio uwekezaji wa muda mfupi, ili upate faida ni lazima uende zaidi ya miaka 15 mpaka 23 hivi. Aina ya miti na scale ni muhimu sana kuijua ili kufikia malengo.
Pili; mabadiliko ya sera, anguko la uchumi kwenye jamii linaathiri sana uwekezaji huu.
Tatu; kwa wenye pumzi huu ni uwekezaji mzuri kama sector nyingine.
Thread closed....Uwekezaji wa miti kwangu mimi hauna tija, unahudumia shamba miaka zaidi ya 10 halafu unakuja kuuza mti kwa sh 20,000 na unapoukata inabidi upande mwingine na kuja kuvuna tena miaka 10 ijayo so elfu 40 kwa miaka 20.
Fanya kilimo cha miti ya matunda hutajuta mfano mchungwa mmoja hata ukiuza chungwa 300 kwa sh 50 = 15000 so kwa miaka 10 = 15,000*7= 105,000/=
Sijapotea,Ulipotea sana,
Huku uwekezaji huu wanasema ni kwaajili ya watoto
Mimi nimewahi poteza eka 350 za miti ya mbao na nguzo kwa msimu mmoja yenye miaka mitano. Lakini msimu uliofuata nikaotesha zaidi ya hizo. Nilichofanya ni kutafuta sababu ya moto ule. Nilijua chanzo chake nikarekebisha na nina songa mbele.Umesahau swala la moto pia linaweza tokea hapo. Biashara ngumu sana.
Mpaka leo ni deal zuri, sasa hivi ukitembea kwenye misitu binafsi Kilolo, Mufindi na Njombe hupati mti hata mmoja wa kupata mbao za 1x12 au 1x10, sana sana ni 1x8. Kwa hiyo siku chache mbeleni huko watatokea wababe kwenye hii biashara na itakuwa haishikiki tena, sababu wengi wanakimbia na wengi wanashindwa kutunza mashamba.Uwekezaji huu ilikuwa dili xana kipindi cha awamu ya nne ....kama unafanya saizi uwe huna hera kwa kupeleka lkn unafaida xana wengi waliwahi kuwekeza wametoka kimaisha .
Changamoto ya kwanza ni ardhi salama kwa kilimo hiki.Hapo kwenye changamoto hebu fafanua zaidi mkuu.
Mimi nilipanda mikaratus ( milingoti) na kipindi hicho napanda ilikuwa Haina soko ,watu wengi walikuwa wanapanda miti aina ya pine, nikaamini kuwa mpaka ikomae itakuwa na soko huko nyumbani kwa sabab watu wengi walikuwa wanapanda aina ya pine.saiz nishaanza kupokea simu zinazotaka niuze na Mimi nalinga Sasa kwasababu tuko wachache wenye nayo. Sina haraka nayo Bado napambana na maisha kwa njia zingine Kwanza nimeiweka akiba Kama bomu la nuclear siku nikilipua itani boost Sana kiuchumiHabari za jioni wakuu,
Kumekuwa na threads nyingi sana hapa JF kuhusu uwekezaji kwenye mashamba ya miti kwa ajili ya mbao.
Naamini wako wengi waliovutiwa na uwekezaji huu wa muda mrefu ambao umekuwa ukinadiwa kuwa na tija sana kwa miaka ya hivi karibuni.
Basi leo nikaona sio vibaya kufungua thread hapa ili kuweza kupata uzoefu na mrejesho kupitia members wengine ambao walishawishika kufikia hatua kwenda kuwekeza kwenye uwekezaji huu.
Naamini wengi tungependa kujua hatua mlizopitia mpaka kufanikisha/kutokufanikisha katika uwekezaji huu.
Karibuni sana kuchangia wadau.
Uko vizuri,Mimi nilipanda mikaratus ( milingoti) na kipindi hicho napanda ilikuwa Haina soko ,watu wengi walikuwa wanapanda miti aina ya pine, nikaamini kuwa mpaka ikomae itakuwa na soko huko nyumbani kwa sabab watu wengi walikuwa wanapanda aina ya pine.saiz nishaanza kupokea simu zinazotaka niuze na Mimi nalinga Sasa kwasababu tuko wachache wenye nayo. Sina haraka nayo Bado napambana na maisha kwa njia zingine Kwanza nimeiweka akiba Kama bomu la nuclear siku nikilipua itani boost Sana kiuchumi
Safi na hongera kwa juhudi, muhimu umejua tatizo na umejipanga kwa asiyejua tatizo bado ni changamoto kubwa kwake.Mimi nimewahi poteza eka 350 za miti ya mbao na nguzo kwa msimu mmoja yenye miaka mitano. Lakini msimu uliofuata nikaotesha zaidi ya hizo. Nilichofanya ni kutafuta sababu ya moto ule. Nilijua chanzo chake nikarekebisha na nina songa mbele.
Hongera sana, naona mambo ya fedha yamekunyookea mpaka kufanya uwekezaji huu.Sijapotea,
Nipo sana, na Mungu jalia nitaendelea kuotesha miti zaidi. Kama nilivyosema 2019 nimeotesha pines 150,000 sio za watoto ni zangu mwenyewe mkuu. Baada ya anguko la uchumi tumebaki wachache sana kama tulivyoanza. Idadi inapungua sana ila mimi na wenzangu tuliopinda bado tunaweka vitalu vya miche.
Tunapoona matajiri wa Kiarabu na Kihindi katika nchi yetu, ujue misingi yao ilijengwa muda mrefu sana na waliowatangulia. Fuatilia wote utaona. Natamani uwekezaji wangu uje kukivusha kizazi chang kwenda level nyingine kabisa.
Pole sana, wewe ni mbishi.. nimependa hii spiritMimi nimewahi poteza eka 350 za miti ya mbao na nguzo kwa msimu mmoja yenye miaka mitano. Lakini msimu uliofuata nikaotesha zaidi ya hizo. Nilichofanya ni kutafuta sababu ya moto ule. Nilijua chanzo chake nikarekebisha na nina songa mbele.
Hongera mkuu kwa mentality hiyo.... hii biashara inahitaji mtu ambar hataki pesa za haraka haraka na anazo pesa za kutoa tu bila kuingiaza for a long time....Mimi nimewahi poteza eka 350 za miti ya mbao na nguzo kwa msimu mmoja yenye miaka mitano. Lakini msimu uliofuata nikaotesha zaidi ya hizo. Nilichofanya ni kutafuta sababu ya moto ule. Nilijua chanzo chake nikarekebisha na nina songa mbele.
Mimi nimewahi poteza eka 350 za miti ya mbao na nguzo kwa msimu mmoja yenye miaka mitano. Lakini msimu uliofuata nikaotesha zaidi ya hizo. Nilichofanya ni kutafuta sababu ya moto ule. Nilijua chanzo chake nikarekebisha na nina songa mbele.
Uwekezaji wa miti ni rahisi sio mpaka uwe na milion 500 pata ardhi Hata kama ni haka 2 anza Utapata hamu na uzoefu a long the way. Lakini usipoamua kuanza kwa kusikiliza wakatisha tamaa kwa excuses mbalimbali. Alafu usisikilize watu ambao wanatoa ushuuda wa watu wengine. Ongea na wasikilize waliokwenye game (hii ni katika venture yoyote ile. Get started kwenye maisha hamna kuchelewa ukikumbuka umewahiHongera mkuu kwa mentality hiyo.... hii biashara inahitaji mtu ambar hataki pesa za haraka haraka na anazo pesa za kutoa tu bila kuingiaza for a long time....
uwe na mishe zingine za kuingiza pesa....
Endelea kupambana mkuu all the best
Shukran mkuu ngoja tujipange tuingie deep zaidiUwekezaji wa miti ni rahisi sio mpaka uwe na milion 500 pata ardhi Hata kama ni haka 2 anza Utapata hamu na uzoefu a long the way. Lakini usipoamua kuanza kwa kusikiliza wakatisha tamaa kwa excuses mbalimbali. Alafu usisikilize watu ambao wanatoa ushuuda wa watu wengine. Ongea na wasikilize waliokwenye game (hii ni katika venture yoyote ile. Get started kwenye maisha hamna kuchelewa ukikumbuka umewahi
Katika maisha kanuni za kutoboa kila mmoja ana mikaksti yake ni vile maono yake ,,, kilimo cha miti kinatoa watu na wengine kinawaangusha ...Shukran mkuu ngoja tujipange tuingie deep zaidi
Sehemu gani!?Unatakiwa kufanya palizi angalau mara 2 kwa mwaka (Kuna kuchomeana mashamba) na miti ikue vizuri, pia Kuna pruning kila mwaka bei inategemea mahali ulipo. Jumla palizi 30 kwa miaka 15
Kuhudumia shamba kwa miaka 15 bila kuingiza hata shilingi ni rubbish. Mfano njombe/iringa shamba la miti yenye miaka 7 na ardhi wanauza 3-6m, miaka 3-4 laki 5-7
Skeleton makini HIZI... Zimekosa nyama tuuChangamoto ya kwanza ni ardhi salama kwa kilimo hiki.
Changamoto ya pili ni manpower kwa ujumla wake
Changamoto ya tatu ni sera za nchi yetu
Changamoto ya nne ni miundombinu isiyo rafiki sehemu zenye ardhi nzuri na salama.
Changamoto ya tano ni hujuma inayotokana na sbb nyingi
Changamoto ya mwisho kipato kuyumba kwa wawekezaji.