Kuna kitu kinafikirisha sana,
Week iliyopita, kuna mteja ana hela kiasi anataka kununua miti kwa Tsh 2.5M kwa eka. Nikamwambia jamaa yangu mmoja ana eka 40 pale Igeleke Mufindi. Nikampa hesabu hizi, Chukua hiyo 100,000,000/, atoe 12,000,000/ gharama za uwekezaji. Kisha achukue 50,000,000/ anunue shamba lenye miti midogo ya 5yrs hivi, na atoe kama 10,000,000/ matunzo ya shamba jipya. Hizi 28m twende samaki samaki tukafanye yetu, hataki. Nikamkumbusha habari ya moto, asije kuja hapa kutulilia.
Wewe ungemshaurije? Maana yy anataka bei ifike 5m kwa eka apate 200M hivi akachukue Hammer kabisaaaaaa.